Si afadhali hiyo..Mtu kafungua instagram page kwa ajili ya biashara kaweka namba ya simu lakin ukipiga haipatikan au ndio hivyo haipokelewi...ufala kabisaa
Hii huendi, na biashara ifie hapo.Si afadhali hiyo..
Kuna Ile anapost bidhaa haweki bei...Ukiuliza unambiwa njoo DM...hii inakasirisha kuliko zote..
Anapumua tu...🤣🤣🤣Kuna wale ukipiga anajikausha mpaka ww uanze kusema hallow wanakera kinoma😑😑
🤣🤣🤣AiseeTuko Bize na hela,lakini si hua tunakupigia?
Nilichogundua kwenye hii dunia kila binadamu ana chembechembe za uchizi .....kuna mazingira akikutana nayo uchizi unakuwa activeAnapumua tu...🤣🤣🤣
Hapana,sema binadamu akipata kitu ana asili ya kupata majivuno...hiyo kawaidaNilichogundua kwenye hii dunia kila binadamu ana chembechembe za uchizi .....kuna mazingira akikutana nayo uchizi unakuwa active
Ndiyo siendagi...Hii huendi, na biashara ifie hapo.
Yaani huyu ni mdogo wangu kabisa, yeye kupokea simu huwa ni nadra sana. Yaani yeye hata simu kuwa hewani tu ni issue, unaweza kumtafuta hata week nzima usimpate labda umpigie mkewe kama yuko naye ndiyo ampe simu muongee. Ila kwa upande wangu, simu kwangu ndiyo hela so huwa siachi pokea simu ya mtu hata iweje, kuzima simu ndiyo huwa sifikirii kabisaNi kweli kuwa simu ni yako, ila unapokuwa kazini na umeandikisha namba yako kuwa ndio itumike kwa mawasilaino si busara kutopokea simu na huna sababu ya msingi ya kutopokea.
Hata mimi huwa sipokei kila wakati, inategemea na majukumu niliyonayo. Ila inapokwa muda wa kazi huwa nayapa kipaumbele mawasiliano yanayohusu kazi. Hivyo mtu yeyote anaponipigia muda wa kazi na nikajua ni mtu ninayehusiana nae kwa ajili ya kazi huwa nampa kipaumbele. Vilevile napokuwa nje ya kazi, huwa nayapa kipaumbele mawasilaino yanayohusu masuala ya kifamilia.
Sasa unakuta mtu anafahamu kabisa yeye anahitajika kutoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ya kila siku juu ya majukumu ya kikazi. Ila akipigiwa simu kila siku haipokelewi. Hii si nzuri na watu wa namna hii mbadilike. Si ustaarabu na uungwana kabisa.
Au mnataka na sisi tuanze utamaduni wa kupeana appointment kwenye kupigiana simu? Kama tumefikia levels hizi kama ilivyo nchi za wenzetu basi weka wazi tuwe tunapeana appointment. Ila siyo kupigiwa kisha unaiangalia tu simu na kupuuza.
Nimemaliza uzi tayari.
Ujeuri tu kama yule ualazaMtapiga na tutazimute tu kama hunaga jambo, msumbufu’muda wa mapumziko unampigia mtu kum assign kazi ya kesho. Jehovaaah shammah, tutapata kesho asbh.
Badilika Mkuu.Nina hilo tatizo, tumekusikia mkuu...tutabadilika!
Yule amezidi 🤣🤣 ndio maana haoti nyweleUjeuri tu kama yule ualaza
Tangu mwendazake kulianza utaratibu wa kuwapigia watu hata jumapili kuulizia mambo ya kiofisi! Huo si ulimbukeni?kama unadaiwa sasa alafu kuna katabia unapiga simu kutumia simu ya mwengine sipokei.
Safi kabisa!Ungemtumia meseji muhusika , sisi huku hayo mambo yenu hayatuhusu.
Pia ukiona simu zako hazipokelewi elewa brand yako ndogo.
Tafuta pesa ji brand ,ukipiga simu moja tu mtu anababaika
Labda wako busy, hawataki ongea nawe, simu iko mbali, iko silent au ina vibrate na hawamsikii!Ni kweli kuwa simu ni yako, ila unapokuwa kazini na umeandikisha namba yako kuwa ndio itumike kwa mawasilaino si busara kutopokea simu na huna sababu ya msingi ya kutopokea.
Hata mimi huwa sipokei kila wakati, inategemea na majukumu niliyonayo. Ila inapokwa muda wa kazi huwa nayapa kipaumbele mawasiliano yanayohusu kazi. Hivyo mtu yeyote anaponipigia muda wa kazi na nikajua ni mtu ninayehusiana nae kwa ajili ya kazi huwa nampa kipaumbele. Vilevile napokuwa nje ya kazi, huwa nayapa kipaumbele mawasilaino yanayohusu masuala ya kifamilia.
Sasa unakuta mtu anafahamu kabisa yeye anahitajika kutoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ya kila siku juu ya majukumu ya kikazi. Ila akipigiwa simu kila siku haipokelewi. Hii si nzuri na watu wa namna hii mbadilike. Si ustaarabu na uungwana kabisa.
Au mnataka na sisi tuanze utamaduni wa kupeana appointment kwenye kupigiana simu? Kama tumefikia levels hizi kama ilivyo nchi za wenzetu basi weka wazi tuwe tunapeana appointment. Ila siyo kupigiwa kisha unaiangalia tu simu na kupuuza.
Nimemaliza uzi tayari.
Washa zima siiwezi,Bora aizime kabisa, Mimi nikiwa sitaki kusikia habari za kazini nazima laini inayojulikana,nawasha Airtel yangu inajulikana na Wana familia WA karibu Tu!