Wenye mazoea ya kutopokea simu mnakera, si uungwana, mbadilike!

Wenye mazoea ya kutopokea simu mnakera, si uungwana, mbadilike!

Daah samahani mkuu, hii week nimekua busy na shemeji yako hivyo kazini sikwenda kabisa. Ni bora ungenitumia meseji kuliko kuja kunifungulia uzi huku. Tutakutana kazini nitakunyoosha utarudi hapa kutoa ushuhuda.
 
Ni kweli kuwa simu ni yako, ila unapokuwa kazini na umeandikisha namba yako kuwa ndio itumike kwa mawasilaino si busara kutopokea simu na huna sababu ya msingi ya kutopokea.

Hata mimi huwa sipokei kila wakati, inategemea na majukumu niliyonayo. Ila inapokwa muda wa kazi huwa nayapa kipaumbele mawasiliano yanayohusu kazi. Hivyo mtu yeyote anaponipigia muda wa kazi na nikajua ni mtu ninayehusiana nae kwa ajili ya kazi huwa nampa kipaumbele. Vilevile napokuwa nje ya kazi, huwa nayapa kipaumbele mawasilaino yanayohusu masuala ya kifamilia.

Sasa unakuta mtu anafahamu kabisa yeye anahitajika kutoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ya kila siku juu ya majukumu ya kikazi. Ila akipigiwa simu kila siku haipokelewi. Hii si nzuri na watu wa namna hii mbadilike. Si ustaarabu na uungwana kabisa.

Au mnataka na sisi tuanze utamaduni wa kupeana appointment kwenye kupigiana simu? Kama tumefikia levels hizi kama ilivyo nchi za wenzetu basi weka wazi tuwe tunapeana appointment. Ila siyo kupigiwa kisha unaiangalia tu simu na kupuuza.

Nimemaliza uzi tayari.
Simu zinaweza kuleta mtafaruku mkubwa sana hususan kwenye mahusiano.
Kuna wale wenye wivu uliokubuhu (Me au Ke) kwenye mahusiano. Yan wana wivu usio na msingi, muda wote hudhani kwamba mwenza wake anafanya mawasiliano yaliyo ni hatarishi (usaliti)kwa mustakabali wa mahusiano yao. e.g. Me akitoka huko atokako kwenye mishe zake na akaiweka simu mezani na kuingia say chumbani au bafuni, basi Ke chap ataikagua fasta na kuona aliweza kuwasiliana na nani siku husika. Hapo Me ajiandae kwa maswali. Lakini ikitokea Ke kaiacha simu yake mezani na kuingia jikoni(Kama ilivyo kwa wengi) Me kama ni aina ya wale wenye wivu mkali, chap' ataichukua na kuikagua mawasiliano yaliyojiri kwa siku hiyo au hata siku za nyuma. Ole wake Ke yakutwe humo majina ya Me. Hapo Ke atapaswa atoe majibu yenye mashiko ya hao Me waliompigia simu. Akijikanyaga-kanyaga anaweza kushushiwa kipondo au Me atampigia huyo Me mwenzake aliyempigia Mke/mpenzi wake simu na kumtaka ajieleze yy ni nani na imekuwaje....hapo mtanange wa kufokeana au matusi yaweza kuzuka. Kwa kifupi, Ke wengi huwa mara nyingi hawapokei simu wasizomjua mpigaji na hili ni kwa usalama wao kwani wapo vidume wana wivu mkali usio na msingi na kutembeza kichapo kwao ni kawaida sana(akina ngumi-mkononi).
 
Ni kweli kuwa simu ni yako, ila unapokuwa kazini na umeandikisha namba yako kuwa ndio itumike kwa mawasilaino si busara kutopokea simu na huna sababu ya msingi ya kutopokea.

Hata mimi huwa sipokei kila wakati, inategemea na majukumu niliyonayo. Ila inapokwa muda wa kazi huwa nayapa kipaumbele mawasiliano yanayohusu kazi. Hivyo mtu yeyote anaponipigia muda wa kazi na nikajua ni mtu ninayehusiana nae kwa ajili ya kazi huwa nampa kipaumbele. Vilevile napokuwa nje ya kazi, huwa nayapa kipaumbele mawasilaino yanayohusu masuala ya kifamilia.

Sasa unakuta mtu anafahamu kabisa yeye anahitajika kutoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ya kila siku juu ya majukumu ya kikazi. Ila akipigiwa simu kila siku haipokelewi. Hii si nzuri na watu wa namna hii mbadilike. Si ustaarabu na uungwana kabisa.

Au mnataka na sisi tuanze utamaduni wa kupeana appointment kwenye kupigiana simu? Kama tumefikia levels hizi kama ilivyo nchi za wenzetu basi weka wazi tuwe tunapeana appointment. Ila siyo kupigiwa kisha unaiangalia tu simu na kupuuza.

Nimemaliza uzi tayari.
Tafutq helaaa mkuuu wanapokeaa fastaaa hela sabuni ya roho
 
Naomba hiyo ya Airtel maana ile mara nyingi sikupati kabisa.
Bora aizime kabisa, Mimi nikiwa sitaki kusikia habari za kazini nazima laini inayojulikana,nawasha Airtel yangu inajulikana na Wana familia WA karibu Tu!
 
Kwa hili wanaongoza watumishi wa Wizarani...hasa TAMISEMI na Ofisi ya Rais...wanaweka namba za simu halafu ukipiga hata siku nzima zitaishia kuita tu

Kuna TCU, HESLB, EWURA, TRA na taasisi zingine

Hivi hizo namba wanaziweka kwenye Websites zao kama Mapambo sio?
 
Watu wamelalama wee had wamechokaa, afu sasa mie sio ya kazini au ya muhimu.

Yoyote na wakati wowote, nisiposijisikia kupokea, sipokei hata awe mshua, napotezea tyuuh, afu namtafuta kwa muda nitakaotaka. Lol
 
Te
Daah samahani mkuu, hii week nimekua busy na shemeji yako hivyo kazini sikwenda kabisa. Ni bora ungenitumia meseji kuliko kuja kunifungulia uzi huku. Tutakutana kazini nitakunyoosha utarudi hapa kutoa ushuhuda.
Mkuu tutakutana J3 kazini. Acha mazoea ya kutopooea simu zetu. Kwenye kikao cha J3 asbh nitazungumzia tena hili suala. Teh! Teh
 
Ni kweli kuwa simu ni yako, ila unapokuwa kazini na umeandikisha namba yako kuwa ndio itumike kwa mawasilaino si busara kutopokea simu na huna sababu ya msingi ya kutopokea.

Hata mimi huwa sipokei kila wakati, inategemea na majukumu niliyonayo. Ila inapokwa muda wa kazi huwa nayapa kipaumbele mawasiliano yanayohusu kazi. Hivyo mtu yeyote anaponipigia muda wa kazi na nikajua ni mtu ninayehusiana nae kwa ajili ya kazi huwa nampa kipaumbele. Vilevile napokuwa nje ya kazi, huwa nayapa kipaumbele mawasilaino yanayohusu masuala ya kifamilia.

Sasa unakuta mtu anafahamu kabisa yeye anahitajika kutoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ya kila siku juu ya majukumu ya kikazi. Ila akipigiwa simu kila siku haipokelewi. Hii si nzuri na watu wa namna hii mbadilike. Si ustaarabu na uungwana kabisa.

Au mnataka na sisi tuanze utamaduni wa kupeana appointment kwenye kupigiana simu? Kama tumefikia levels hizi kama ilivyo nchi za wenzetu basi weka wazi tuwe tunapeana appointment. Ila siyo kupigiwa kisha unaiangalia tu simu na kupuuza.

Nimemaliza uzi tayari.
Simu yangu halafu unipangie ushikaji wake?Aaaaargh...ubeberu huu!
 
Sipendi kuongea na simu basi tuu, simu ikiita naanza kutukana ikiwa bado mfukoni. Napenda kupokea simu ya dem mpya ambaye bado sijamla basi.
 
Napenda kuwa online nachat whatsapp, kipitia pitia jf na pinterest baaaas......ila sio kupigiwa simu, nakua sijisikii kuongea na simu.
Mimi hili halinisumbui. Kama sitaki kupigiwa simu au kupokea sms, nazima kabisa kisimu changu kidogo kisha naingia online (through smart phone) kwa kutumia line yangu ya Halotel (M2M DATA ONLY, special sim card - 300020xxxxxx); hakuna cha calls, wala sms. Calls na sms nitaziona baadaye nitakapokuwa nimemaliza issues zangu.
 
Mimi hili halinisumbui. Kama sitaki kupigiwa simu au kupokea sms, nazima kabisa kisimu changu kidogo kisha naingia online (through smart phone) kwa kutumia line yangu ya Halotel (M2M DATA ONLY, special sim card - 300020xxxxxx); hakuna cha calls, wala sms. Calls na sms nitaziona baadaye nitakapokuwa nimemaliza issues zangu.
Kuna muda huwa natamani kungekua na option ya kuwa off watu wanikose ila mtandaoni niwepo 😃
 
Back
Top Bottom