Wenye mazoea ya kutopokea simu mnakera, si uungwana, mbadilike!

Wenye mazoea ya kutopokea simu mnakera, si uungwana, mbadilike!

Ndiyo siendagi...
Na ukiwafatilia wengi wao siyo wale wenye hiyo bidhaa husika... wanakuwa kama Mawinga....Anaongeza bei yake...

Ninachofanyaga natulia tu... baadaye nakuja kuona page ya mwenye bidhaa na bei wanaweka na unaelekezwa hadi Duka lilipo..
Aisee noma sana mkuu
 
Kabla hujampigia mtu simu hebu jaribu kwanza kutuma ujumbe wa “naweza kukupigia?!” Ffs Kuna muda mtu anapiga simu kwa kitu ambacho angetuma tu ujumbe akaeleweka
 
Kabla hujampigia mtu simu hebu jaribu kwanza kutuma ujumbe wa “naweza kukupigia?!” Ffs Kuna muda mtu anapiga simu kwa kitu ambacho angetuma tu ujumbe akaeleweka
Huo ustaarabu huwa nafanya, ila unakuta mtu hajibu hata sms. Hapo unakuta yeye ndo muhusika wa kutoa clarification. Huku wewe pia unahitajika kutoa majibu kwa watu wengine. Hatujagombana wala kukerana, ila mtu inakuwa tu ni tabia yake ya kutopokea simu na kutojibu message anazopata. Watu wa namna hii wapo wengi. Nimefanya observation kujiridhisha.

Wengi wao unakuta ni tabia walizojijengea. Wengine wanakuwa na stress za maisha, yaani stress za home kwake anazihamishia kazini na kupelekea kuwa na low productivity kazini. Mwingine anakuwa ni mtu anayejifanya kuwa busy kupitiliza. Kuwa busy si kwasababu ya majukumu ila ukichunguza ni vile ana poor planning kwenye majukumu yake.
 
90% ya simu zangu nazopigiwa ni za matatizo.
Yan kila simu inapoita lazima tumbo liungurume na moyo upige pah!!!!!
Lazima niwazee kabla sijapokea simu,ila lazima nipokee tu
Nishazoea hiz rabsha rabsha za simu ngumu!!.
Ila kuzima ndio siwezi.
Inaweza ita mara ya kwanza nikaiacha mpakanikate kama sijajipanga kuipokea ila kupokea simu mimi ni given
 
Ni kweli kuwa simu ni yako, ila unapokuwa kazini na umeandikisha namba yako kuwa ndio itumike kwa mawasilaino si busara kutopokea simu na huna sababu ya msingi ya kutopokea.

Hata mimi huwa sipokei kila wakati, inategemea na majukumu niliyonayo. Ila inapokwa muda wa kazi huwa nayapa kipaumbele mawasiliano yanayohusu kazi. Hivyo mtu yeyote anaponipigia muda wa kazi na nikajua ni mtu ninayehusiana nae kwa ajili ya kazi huwa nampa kipaumbele. Vilevile napokuwa nje ya kazi, huwa nayapa kipaumbele mawasilaino yanayohusu masuala ya kifamilia.

Sasa unakuta mtu anafahamu kabisa yeye anahitajika kutoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ya kila siku juu ya majukumu ya kikazi. Ila akipigiwa simu kila siku haipokelewi. Hii si nzuri na watu wa namna hii mbadilike. Si ustaarabu na uungwana kabisa.

Au mnataka na sisi tuanze utamaduni wa kupeana appointment kwenye kupigiana simu? Kama tumefikia levels hizi kama ilivyo nchi za wenzetu basi weka wazi tuwe tunapeana appointment. Ila siyo kupigiwa kisha unaiangalia tu simu na kupuuza.

Nimemaliza uzi tayari.
Mwenye tabia hiyo mfanyieni maandamano afukuzwe kazi, ni mzembe huyo.
 
Comments za wanajamiiforums bhana

Unaweza kusema wote wa kishua na wana michongo ya maana ..

Kumbe apeche lolo ..

Ninaenda na mwaka zaidi ya kumi sipokeagi simu ya mtu ,

Ukipiga naiangalia iite , ikikata mimi ndo nakupigia

Nataka niwe comfortable na maongezi .
 
Comments za wanajamiiforums bhana

Unaweza kusema wote wa kishua na wana michongo ya maana ..

Kumbe apeche lolo ..

Ninaenda na mwaka zaidi ya kumi sipokeagi simu ya mtu ,

Ukipiga naiangalia iite , ikikata mimi ndo nakupigia

Nataka niwe comfortable na maongezi .
 
Ni kweli kuwa simu ni yako, ila unapokuwa kazini na umeandikisha namba yako kuwa ndio itumike kwa mawasilaino si busara kutopokea simu na huna sababu ya msingi ya kutopokea.

Hata mimi huwa sipokei kila wakati, inategemea na majukumu niliyonayo. Ila inapokwa muda wa kazi huwa nayapa kipaumbele mawasiliano yanayohusu kazi. Hivyo mtu yeyote anaponipigia muda wa kazi na nikajua ni mtu ninayehusiana nae kwa ajili ya kazi huwa nampa kipaumbele. Vilevile napokuwa nje ya kazi, huwa nayapa kipaumbele mawasilaino yanayohusu masuala ya kifamilia.

Sasa unakuta mtu anafahamu kabisa yeye anahitajika kutoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ya kila siku juu ya majukumu ya kikazi. Ila akipigiwa simu kila siku haipokelewi. Hii si nzuri na watu wa namna hii mbadilike. Si ustaarabu na uungwana kabisa.

Au mnataka na sisi tuanze utamaduni wa kupeana appointment kwenye kupigiana simu? Kama tumefikia levels hizi kama ilivyo nchi za wenzetu basi weka wazi tuwe tunapeana appointment. Ila siyo kupigiwa kisha unaiangalia tu simu na kupuuza.

Nimemaliza uzi tayari.
Mwenye tabia hiyo mfanyieni maandamano afukuzwe kazi, ni mzembe huyo.
 
Sipendi mtu anipigie simu sipendi mtu anitumie meseji kwa ufupi sipendi kujibu meseji au kupokea simu. Sikipendi hiki kifaa kinachoitwa simu, isingekua kazi na familia nisingetumia simu!
Bado uko zama za ujima
 
Comments za wanajamiiforums bhana

Unaweza kusema wote wa kishua na wana michongo ya maana ..

Kumbe apeche lolo ..

Ninaenda na mwaka zaidi ya kumi sipokeagi simu ya mtu ,

Ukipiga naiangalia iite , ikikata mimi ndo nakupigia

Nataka niwe comfortable na maongezi .
Kumbe huwa mnafanya maksudi
 
Back
Top Bottom