Aisee noma sana mkuuNdiyo siendagi...
Na ukiwafatilia wengi wao siyo wale wenye hiyo bidhaa husika... wanakuwa kama Mawinga....Anaongeza bei yake...
Ninachofanyaga natulia tu... baadaye nakuja kuona page ya mwenye bidhaa na bei wanaweka na unaelekezwa hadi Duka lilipo..
Huo ustaarabu huwa nafanya, ila unakuta mtu hajibu hata sms. Hapo unakuta yeye ndo muhusika wa kutoa clarification. Huku wewe pia unahitajika kutoa majibu kwa watu wengine. Hatujagombana wala kukerana, ila mtu inakuwa tu ni tabia yake ya kutopokea simu na kutojibu message anazopata. Watu wa namna hii wapo wengi. Nimefanya observation kujiridhisha.Kabla hujampigia mtu simu hebu jaribu kwanza kutuma ujumbe wa “naweza kukupigia?!” Ffs Kuna muda mtu anapiga simu kwa kitu ambacho angetuma tu ujumbe akaeleweka
Ni Bora kuondosha usumbufu kuliko kupigiwa simu unaiangalia Tu hupokei,Hali hiyo pia inaweza kukuharibia mahusiano yako na baadhi ya watu!Washa zima siiwezi,
Hiyo Kwa upande wangu ni mgumu,labda huyo mtu awe na umuhimu mkubwa mno kiasi ambacho hakuna WA kusolve zaidi yake!!Kabla hujampigia mtu simu hebu jaribu kwanza kutuma ujumbe wa “naweza kukupigia?!” Ffs Kuna muda mtu anapiga simu kwa kitu ambacho angetuma tu ujumbe akaeleweka
Mwenye tabia hiyo mfanyieni maandamano afukuzwe kazi, ni mzembe huyo.Ni kweli kuwa simu ni yako, ila unapokuwa kazini na umeandikisha namba yako kuwa ndio itumike kwa mawasilaino si busara kutopokea simu na huna sababu ya msingi ya kutopokea.
Hata mimi huwa sipokei kila wakati, inategemea na majukumu niliyonayo. Ila inapokwa muda wa kazi huwa nayapa kipaumbele mawasiliano yanayohusu kazi. Hivyo mtu yeyote anaponipigia muda wa kazi na nikajua ni mtu ninayehusiana nae kwa ajili ya kazi huwa nampa kipaumbele. Vilevile napokuwa nje ya kazi, huwa nayapa kipaumbele mawasilaino yanayohusu masuala ya kifamilia.
Sasa unakuta mtu anafahamu kabisa yeye anahitajika kutoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ya kila siku juu ya majukumu ya kikazi. Ila akipigiwa simu kila siku haipokelewi. Hii si nzuri na watu wa namna hii mbadilike. Si ustaarabu na uungwana kabisa.
Au mnataka na sisi tuanze utamaduni wa kupeana appointment kwenye kupigiana simu? Kama tumefikia levels hizi kama ilivyo nchi za wenzetu basi weka wazi tuwe tunapeana appointment. Ila siyo kupigiwa kisha unaiangalia tu simu na kupuuza.
Nimemaliza uzi tayari.
Pole sana..Sipendi mtu anipigie simu sipendi mtu anitumie mesaji kwa ufupi sipendi kujibu mesaji au kupokea simu. Sikipendi hiki kifaa kinachoitwa simu, ingekuwa si kazi na familia nisingetumia simu!
Mwenye tabia hiyo mfanyieni maandamano afukuzwe kazi, ni mzembe huyo.Ni kweli kuwa simu ni yako, ila unapokuwa kazini na umeandikisha namba yako kuwa ndio itumike kwa mawasilaino si busara kutopokea simu na huna sababu ya msingi ya kutopokea.
Hata mimi huwa sipokei kila wakati, inategemea na majukumu niliyonayo. Ila inapokwa muda wa kazi huwa nayapa kipaumbele mawasiliano yanayohusu kazi. Hivyo mtu yeyote anaponipigia muda wa kazi na nikajua ni mtu ninayehusiana nae kwa ajili ya kazi huwa nampa kipaumbele. Vilevile napokuwa nje ya kazi, huwa nayapa kipaumbele mawasilaino yanayohusu masuala ya kifamilia.
Sasa unakuta mtu anafahamu kabisa yeye anahitajika kutoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ya kila siku juu ya majukumu ya kikazi. Ila akipigiwa simu kila siku haipokelewi. Hii si nzuri na watu wa namna hii mbadilike. Si ustaarabu na uungwana kabisa.
Au mnataka na sisi tuanze utamaduni wa kupeana appointment kwenye kupigiana simu? Kama tumefikia levels hizi kama ilivyo nchi za wenzetu basi weka wazi tuwe tunapeana appointment. Ila siyo kupigiwa kisha unaiangalia tu simu na kupuuza.
Nimemaliza uzi tayari.
Mambo ya hovyo sanaMtu kafungua instagram page kwa ajili ya biashara kaweka namba ya simu lakin ukipiga haipatikan au ndio hivyo haipokelewi...ufala kabisaa
Bado uko zama za ujimaSipendi mtu anipigie simu sipendi mtu anitumie meseji kwa ufupi sipendi kujibu meseji au kupokea simu. Sikipendi hiki kifaa kinachoitwa simu, isingekua kazi na familia nisingetumia simu!
Kumbe huwa mnafanya maksudiComments za wanajamiiforums bhana
Unaweza kusema wote wa kishua na wana michongo ya maana ..
Kumbe apeche lolo ..
Ninaenda na mwaka zaidi ya kumi sipokeagi simu ya mtu ,
Ukipiga naiangalia iite , ikikata mimi ndo nakupigia
Nataka niwe comfortable na maongezi .
🤣🤣🤣Yule amezidi 🤣🤣 ndio maana haoti nywele
Na sio kwamba tunaringa au kujisikiaNina hilo tatizo, tumekusikia mkuu...tutabadilika!
Wala haturingi, wala hatujisikii..inatokea tu!!Na sio kwamba tunaringa au kujisikia