Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajibu hapana naendesha punda😀😀Bado unaendesha bodaboda ?🐼
Kuna wakuda hawajui hizo MamboNimefurahi kukuona
Unakumbuka siku flani ulinisaidia kitu flani sijawahi kusahau
Naomba namba tuwe tunachekiana ishu muhimu
Vitu hivyo vinatosha kuwa sehemu ya mazungumzo, mambo ya kufatiliana unaweza kuambiwa "ninawahi sehemu flani"
Nimegoma kuzeeka mimi🤣🤣😀😀😀 you made my night mkuu, anayeuliza hivo anastahili mitama😀
Hamna kuzeeka kirahisi😀😀Nimegoma kuzeeka mimi🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🙌Mbona umezeeka ? Na anaona kabisa mtu mzima napambana na uzee kwa kichwa kizima nimejipakaza hair dye.
Oiiii.Hamna kuzeeka kirahisi😀😀
Nikikutana na classmates ana gari namkimbia kama hajaniona hadi wa leo sina ka gari hata IST? acha gari hata pikipiki sina
Hahahah inachekesha na kuhuzunisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahah inachekesha na kuhuzunisha