Duuuh jamaa umekazia sana suala la moto, asee ungekuwa mwalimu wa mase tu daaaah![emoji16]
Lakn si tulikubaliana moto unatokana na makosa ya kielimu za wamiliki na mafundi tu au?
Jamani mie napenda Harria nyeusi tako la nyani balaa, nna 20 .wenye lililo ktk hali nzuri anicheki.
Ksbb nazijua na nimeshuhudia nyingi zikijibu,zikishika moto. Hii ninayoitumia mimi sasa ilikuwa ya wife haikuwa chaguo langu. Mimi ni Toyota tu. Lakini sasa wife anaiogopa baada ya kushuhudia nyingi zikiwaka na hii kutaka kuwaka.Duuuh jamaa umekazia sana suala la moto, asee ungekuwa mwalimu wa mase tu daaaah!😁
Lakn si tulikubaliana moto unatokana na makosa ya kielimu za wamiliki na mafundi tu au?
Kiongozi, Nissan ni gari imara sanaBe advised, Nissan sio gari mkuu..
Ok. Angalau wewe umefafanua. Japo pia ilitakiwa ujibu lile langu kwamba gari zangu huwa sioshagi kwa presure kabisa. Kwa nini ikatokea nayo?Hujaelewa!
Maelezo hayasemi gari itawka moto ukiiosha...
Unaambiwa hivii; hiyo insulator inaharibika/inachoka kwa kupigwa na maji ya pressure wakati wa kuosha gari.
Hiyo insulator ikiharibika/ikichoka inakuwa kama tambara la deki [emoji23] wewe umeita mapamba pamba!
Hayo mapamba pamba sasa ndo yanaangukia/yanalia kwenye exhaust manifold, ambapo gari ikitembea mwendo mrefu lil chuma linakuwa kama limeshika moto... !
Hapo sasa sijui umenielewa..?
View attachment 2788580
View attachment 2788582
Hata mkeo?mkuu usikatishwe tamaa na mtu,wala kupangiwa maisha,wala usikatishwe tamaa,hiyo gari utanunua tu,na kuimiliki ni jambo linawezekana kabisa,ila usitangaze sana mipango yako kwa watu,hata mkeo...
Nimekuelewa vizuri kabisa. Ngoja nichunguze mkuuHujaelewa!
Maelezo hayasemi gari itawka moto ukiiosha...
Unaambiwa hivii; hiyo insulator inaharibika/inachoka kwa kupigwa na maji ya pressure wakati wa kuosha gari.
Hiyo insulator ikiharibika/ikichoka inakuwa kama tambara la deki [emoji23] wewe umeita mapamba pamba!
Hayo mapamba pamba sasa ndo yanaangukia/yanalia kwenye exhaust manifold, ambapo gari ikitembea mwendo mrefu lil chuma linakuwa kama limeshika moto... !
Hapo sasa sijui umenielewa..?
View attachment 2788580
View attachment 2788582
AnhaaKsbb nazijua na nimeshuhudia nyingi zikijibu,zikishika moto. Hii ninayoitumia mimi sasa ilikuwa ya wife haikuwa chaguo langu. Mimi ni Toyota tu. Lakini sasa wife anaiogopa baada ya kushuhudia nyingi zikiwaka na hii kutaka kuwaka.
Itakuwa sikuhudhuria darasa la elimu kuhusu Duas. Hebu nipe link tuone. Halafu unasema mlikubariana ni makosa ya kielimu kwa wamiliki na mafundi? Kivipi?
Akili mtu wangu, nahisi akili za average mbongo zinapekea mioto.Wakuuu kwanini hz dualis zinakesi za kuwaka moto hapa bongo tu?
Naona kijana unayatamani matatizo kwa gharama kubwa, haya karibuu kwenye chama la milipuko, huyu kaunguliwa kigamboni darajani hata wiki hajamaliza.
ila kuna Dualis hapa namba B inadunda mpaka keshoDualis sio gari utajutaaa acha ubishi
ila kuna Dualis hapa namba B inadunda mpaka keshoView attachment 2790869
Umeanza na akiba ya sh 3,000! Hongera sana mkuu! Imani yako ni kubwa sana. Kwa Imani hiyo, ukitakacho hakitaweza kukupiga chenga.Leo nimeanza kujichanga ninunue Dualis nissan.
Siwezi sema kiasi gan naitamani hii gari ila mjue tu nikiiona akili yangu huwa inataka kuweuka.
Mimi sina gari,
Sijui kuendesha ( siyo 0 kabisa no)
Sikuwaga na interest za magari
Ila sasa kuna hii gari imetokea inaitwa ……
View attachment 2783004
View attachment 2783006
View attachment 2783007
Yaan kiasi kwamba niki Nikimuona mtu anaendesha hii gari naona ANAISHI KWENE ndoto yangu kabisa. Namtamani ningekua ndo mimi naimiliki[emoji848]
nipeni ushauri nisije nikajikuta nimeuza had kabanda kangu kisa kutafuta milion22 za hii gari[emoji3064]
$AVING ~i
Nimeanza kukusanya hela saizi nina 3000/= nimeitia kwa kibubu
hahahahahaaa.... dualis Japan wala ulaya haziungui ila zinakuja kuungua huku TanganyikaItaungua tuu siku yake hatjafika. Ni kama binadam kila mtu ana siku yake ya kukata moto.
Mkuu, Nissan ni nini kama siyo gari?Be advised, Nissan sio gari mkuu..
watu wanakariri sana mkuu, watu wana nissan tangu TZF na sasa ina usajili wa AUG na bado inapiga mzigo bila shida na ina km laki 6 na kitu na haijawah kufanyiwa overhaulMkuu, Nissan ni nini kama siyo gari?