Wenye nyumba wamekuwa na hii tabia Kwa wapangaji wao

..Bahati mbaya sana kwa nchi yetu hatuna utaratibu rasmi, kama wapangaji (tenants) wangekuwa na utayari wa kulipia security deposit na uwezo wa kulipia pango (rent) kwa wakati , sintofahamu na migogoro na kero nyingi zingefutika. Shida udalali mwingi na tantalila za wapangaji kwa wamiliki, ..ni ngumu kwa mmiliki kusubiri mpaka utakapohama/ kutoa vitu vyako then ndio aanze kutangaza kupangishwa..huo muda ni hasara kwake.. arrangement nzuri huwa mnapoelekea mwisho wa mkataba mkubaliane pande zote kuwa itakuwaje.
Mimi binafsi niliona nchini Uingereza utaratibu wa unapobakisha mwezi mmoja kumaliza mkataba mnakubaliana pande zote juu ya marekebisho (kama yapo) muda wa viewing kwa wanaohitaji, pending bills etc.. huku kibongo bongo mnaviziana 😀
 
Utakuwa mpangaji kichomi asiyelipa kodi kwa wakati ndiyo maana unakuwa kondoo mbele ya mwenye nyumba
 
Hahahaa! Sasa si ungewambia huko uswahilini, maana humu sidhani kama wamo, hisia zangu lakini
 
Hilo lipo sawa lakini ukifnya hvo vitaanza visa na Mikasa humo ndani mda mwngne watu huwapisha kuepusha shari na wengi wao hawajui Right of privacy zinasema vp!
Huu unyonge!, anakutia jamba jamba tu kama anakudai umlipe.
 
Hii mwamba ilinikuta enzi hizo na Haso na life huko kibaha(Ukipitia ule uzi wangu wa visa nilivyokutana navyo kwenye kazi ya udalali utaona)utaona ikanivuruga sana hiyo isha inauma sana asikwambie mtu, hii kitu ina dhalilisha sana.
 
Vidonda vya uchumi hivyo
 
Eeh Mkuu ni changamoto snaa
 
Pole ndugu mpangaji,ukiona hivyo mwenye mjengo anakuhamasisha ujenge mjengo wako waka usichukie,hapo ni sawa na kumpiga chura teke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…