Wenye umri wa miaka 35 hamjaoa na hamna hamu ya ndoa njooni tujadili

Wenye umri wa miaka 35 hamjaoa na hamna hamu ya ndoa njooni tujadili

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Sasa nina miaka 35 sipati hamu kabisa ya kuoa na kuishi na mwanamke, labda aje tu nichaape aondoke. Ziko shida nyingi na hatari nyingi ninazoweza kupata kwa kutoishi na mwanamke, kiufupi sina sababu ya msingi ya kuwa bachela hadi sasa.

Hakuna kitu nakerwa kama kulizwa naoa lini , current sina hata mwanamke anayenivutia kuishi naye siwaelewi, natamani kuishi na mama watoto ila naona kama sina mzuka naye.

Wewe una sababu ipi inakufanya umri ukutupe mkono na usiishi na mke?
 
sasa nina miaka 35 sipati hamu kabisa ya kuoa n kuishi n mwanamke ,labda aje tu nichaape aondoke , ziko shida nyingi na hatari nyingi ninazowepata kwa kutoishi na mwanamke, kiufupi sina sababu ya msingi ya kutokuoa , wewe je unasababu ipi inakufanya umri ukutupe mkono na usishi na mke
Come 65 years utajutia kufika 35 kuwa hujaoa
 
sasa nina miaka 35 sipati hamu kabisa ya kuoa n kuishi n mwanamke ,labda aje tu nichaape aondoke , ziko shida nyingi na hatari nyingi ninazoweza kupata kwa kutoishi na mwanamke, kiufupi sina sababu ya msingi ya kuwa bachela hadi sasa , wewe je unasababu ipi inakufanya umri ukutupe mkono na usishi na mke
Life halieleweki mkuu... Kama Bado unajitafuta na huna uhakika wa mlo usioe..
 
images (14).jpeg
 
sijakuelewa mzee
Kwa sasa una nguvu. Una uwezo wa kufanya kila kitu mwenyewe. Utafikia umri ambao unahitaj msaada wa mtu mwingine.

Na kuna misaada anayeweza kuitoa ni mke wa ndo tu..!! Sasa leo hii hujaowa na una miaka 35, utakapofika miaka 65, na huku huna mke uliyejenga naye mahusiano mazuri tangu ukiwa 25 year ulipoowa, tegemea kupata shida sana.
 
sasa nina miaka 35 sipati hamu kabisa ya kuoa n kuishi n mwanamke ,labda aje tu nichaape aondoke , ziko shida nyingi na hatari nyingi ninazoweza kupata kwa kutoishi na mwanamke, kiufupi sina sababu ya msingi ya kuwa bachela hadi sasa ? hakuna kitu nakerwa kama kulizwa naoa lini , current sina hata mwanamke anayenivutia kuishi naye siwaelewi, natamani kuishi na mama watoto ila naona kama sina mzuka naye weweunasababu ipi inakufanya umri ukutupe mkono na usishi na mke
TAFUTA AJIRA KWANZA HAMU ITAKUJA
 
Back
Top Bottom