Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Unanishauri nioe nikiwa na umri gani broUkweli utakbaki kuwa hivyo, uwe unatisha au la..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanishauri nioe nikiwa na umri gani broUkweli utakbaki kuwa hivyo, uwe unatisha au la..!!
Mbona wengi bro,tafuta pole pole tu.2w
niletee mdada awe ni graduate wa muhimbili uun
SHemela, imekuwaje tena na swali lako?? Au dunia imevaa sketi?Unanishauri nioe nikiwa na umri gani bro
ILa asiyeowa akipata matatizo yanayohitaji uwepo wa mke, asianze kutafuta dada kaka zake waje wamsaidie, maana nao watakuwa wapo na waume zao wanafanya majukumu yaoMwenye kuoa aoe asiyetaka kuoa asioe
Ohooo possible wewe bado mtoto,Ndoa ni Ujinga na Utapeli wa kizamani
ME anayejielewa haoi, Ndoa ni Wizi
Mkuu ni kuoa na siyo kuowaKwa sasa una nguvu. Una uwezo wa kufanya kila kitu mwenyewe. Utafikia umri ambao unahitaj msaada wa mtu mwingine.
Na kuna misaada anayeweza kuitoa ni mke wa ndo tu..!! Sasa leo hii hujaowa na una miaka 35, utakapofika miaka 65, na huku huna mke uliyejenga naye mahusiano mazuri tangu ukiwa 25 year ulipoowa, tegemea kupata shida sana.
Oeni jamani,mnataka kutengeneza taifa la namna gani,wadada hawana ndoa sababu yenu mnaendekeza mambo ya mrengo mwingine.
Mjitafakari.
ASANTE KWA MAREKEBISHOMkuu ni kuoa na siyo kuowa
CHAMA KUBWA 36YRS NOWSasa nina miaka 35 sipati hamu kabisa ya kuoa na kuishi na mwanamke, labda aje tu nichaape aondoke. Ziko shida nyingi na hatari nyingi ninazoweza kupata kwa kutoishi na mwanamke, kiufupi sina sababu ya msingi ya kuwa bachela hadi sasa.
Hakuna kitu nakerwa kama kulizwa naoa lini , current sina hata mwanamke anayenivutia kuishi naye siwaelewi, natamani kuishi na mama watoto ila naona kama sina mzuka naye.
Wewe una sababu ipi inakufanya umri ukutupe mkono na usiishi na mke?
Hao ndio wapo,wameoga na kurudi soko,wahurumieni mkuu.Wadada wa kuolewa wapo wachache na hawapatikani sokoni
Karibu mkuuASANTE KWA MAREKEBISHO
Hao ndio wapo,wameoga na kurudi soko,wahurumieni mkuu.
Olewa tu, utapata mojawapo ya hayo au hayaHata muoaji anaweza kuwa mkosi kwa mke wake
Anaweza kuwa na gubu
Anaweza kuwa mzinzi
Anaweza kuwa anamtegemea mke
Anaweza kuwa hana nguvu za kiume
Anaweza kuwa SHOGA
Kumbuka uhalisia sio sinema ni kuact,sasa mnashindwaje kuact kwa usahihi.Ndoa sio swala la huruma.
Ni swala la uhalisia.
Mwanaume anayepigwa ni yule anayeoaMwanaume kamili ni yule alieoa
Nielewe nini Utapeli ?utaelewa tu.
Kataa UjambaziNimecheka sana yaan ulivyoandika vizuri ingekuwa NECTA basi ungepata 76%,kuna wengi wanakufa wakiwa peke Yao wanakuja kugundulika baada ya harufu kuwa Kali sababu wanaishi peke Yao kama vp tafuta mtu mueleze wewe sio Muoaji mponde raha tuu utaona atakaa muda gani kabla ya kukukimbia,tatizo hamsemi then Maisha haya wadada wameshtuka kuwa wamekuwa wa kuzalishwa tuu Nyie wa kataa Ndoa mnatengeneza single mother wengi sana
Kupanga ni kuchagua mzee kila mtu afe na msalaba wake sio kuanza kusumbuana kuhudumia mtu aliyekataa kujenga familia yakeILa asiyeowa akipata matatizo yanayohitaji uwepo wa mke, asianze kutafuta dada kaka zake waje wamsaidie, maana nao watakuwa wapo na waume zao wanafanya majukumu yao