Ata mke unamuhidumia na anaenda kugegedwa na wanaume wengine.SI kuliwa hela zako tu, bali hata kugongewa na wewe kuhudumia wanaume wake wanaomnyandua akanyanduka
Hapa ni kushikuru tuu ukipewa chance ya kugegeda zamu yako itumie vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata mke unamuhidumia na anaenda kugegedwa na wanaume wengine.SI kuliwa hela zako tu, bali hata kugongewa na wewe kuhudumia wanaume wake wanaomnyandua akanyanduka
Sawa, wapo wa hivyo, lakini ata least anakuwa na bond na wewe..!!Ata mke unamuhidumia na anaenda kugegedwa na wanaume wengine.
Hapa ni kushikuru tuu ukipewa chance ya kugegeda zamu yako itumie vizuri
Maadili yangu hayaniruhusu kununua malaya Mkuu, Ila pia hayanilazimishi kuoa.Haya usioe basi nunua tu Malaya.
Muda ni mwalimu mzuri.
Dah, ili hitimisho lako ni noma MkuuSawa, wapo wa hivyo, lakini ata least anakuwa na bond na wewe..!!
Limekuwaje?Dah, ili hitimisho lako ni noma Mkuu
watoto ninao kama wawili naenda pata mwingine soon
sina na siitaki kwa millisecond...Sasa nina miaka 35 sipati hamu kabisa ya kuoa na kuishi na mwanamke, labda aje tu nichaape aondoke. Ziko shida nyingi na hatari nyingi ninazoweza kupata kwa kutoishi na mwanamke, kiufupi sina sababu ya msingi ya kuwa bachela hadi sasa.
Hakuna kitu nakerwa kama kulizwa naoa lini , current sina hata mwanamke anayenivutia kuishi naye siwaelewi, natamani kuishi na mama watoto ila naona kama sina mzuka naye.
Wewe una sababu ipi inakufanya umri ukutupe mkono na usiishi na mke?
Dunia inachange sana, style ya maisha hubadilika kila uchwao,kwa hali na maisha ya kitanzania kusave pesa ya kutosha kukidhi mahitaji ya kuja kuhonga uzeeni ni kazi, kumbuka ukiwa mzee huna mvuto tena, hata ukifanya biashara hawanunui, nani atanunua bidhaa za mzee wakati kutakuwa na vijana wa wakati huo wenye mvuto na mawazo mapya na mbinu za wakati huo?Ukiwanna hela unapata kabinti kabici kanakuhudumia tuu cha msingi ukubali kuliwa hela zako
Yesu alioa ? Adam alioa ?We wadanganye, Kila age ina mahitaji yake. Mungu ni fundi nature itakulazimisha na ukienda kinyume itakuhukumu na muda hautarudi nyuma, utakuwa mzigo kwa watu. Na wewe utajiona ni mzigo hata kama uba pesa. Jidanganye na ujana unaopita kwa kasi.
Wee huwajui wanawake.....unaweza kuwa na pumbu za miaka 80 na bado wakazinyonya mzee. Wee kuwa na hela na warembo utawagegeda tuu. Cha msingi ni kuwa na mtazamo wa kwamba hawa wanawake ni chombo cha starehe. Usilete sikui oh nakupenda. Wee wagegede tuuDunia inachange sana, style ya maisha hubadilika kila uchwao,kwa hali na maisha ya kitanzania kusave pesa ya kutosha kukidhi mahitaji ya kuja kuhonga uzeeni ni kazi, kumbuka ukiwa mzee huna mvuto tena, hata ukifanya biashara hawanunui, nani atanunua bidhaa za mzee wakati kutakuwa na vijana wa wakati huo wenye mvuto na mawazo mapya na mbinu za wakati huo?
Ramani unazozipata leo ukiwa na age mate wako ukiwa mzee hutaweza ku compete na vijana,
Unachotakiwa kufanya mda huu ni kutengeneza familia na uwe na bond na kizazi chako, ujue wameamkaje , wanakula nini, mtoto akianguka umwinue mpe pole jenga uhusiano ili uweke akiba ya fadhila kwenye moyo wake. Usiseme kuwa hatakujali na ukanipa mifano uchwara, Zimwi lokujualo halikuli likakwisha
Ukizeeka hata akili zako hazitafanya kazi vizuri, utaanza kujinyea na utahitaji pampas, utapata stroke , sijui binti wa wap ndogo atakutunza kwa hali hiyo na sijui utampa shilingi ngapi, ila kati ya utakaowazaa yupo mmoja tu Mungu atampa roho ya kukuhudumia.
Labda kama utakataa ndoa basi omba Mungu ufe mapema, hapo ntakuunga mkono.