Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Dah!..Mimi ntaoa nikipata demu au Mwanamke Kama wa Sabaya .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!..Mimi ntaoa nikipata demu au Mwanamke Kama wa Sabaya .
Wewe ntakuoa mimiMimi ntaoa nikipata demu au Mwanamke Kama wa Sabaya .
Hapo umeharibu, kumbe una mwanamke na umezaa nae halafu unataka uishi kipeke yako. Hapo unatafuta laana tu, mimi nilijua hujaleta mtoto duniani, ila yupo basi jitafakari.Sasa nina miaka 35 sipati hamu kabisa ya kuoa na kuishi na mwanamke, labda aje tu nichaape aondoke. Ziko shida nyingi na hatari nyingi ninazoweza kupata kwa kutoishi na mwanamke, kiufupi sina sababu ya msingi ya kuwa bachela hadi sasa.
Hakuna kitu nakerwa kama kulizwa naoa lini , current sina hata mwanamke anayenivutia kuishi naye siwaelewi, natamani kuishi na mama watoto ila naona kama sina mzuka naye.
Wewe una sababu ipi inakufanya umri ukutupe mkono na usiishi na mke?
Hapa ninaswali la msingi lakuuliza, sasa kama hunauhakika wa mlo hao watoto tunaowatafuta huku hatujui kula yao wataishije na tumewaleta sisi wenyewe?Life halieleweki mkuu... Kama Bado unajitafuta na huna uhakika wa mlo usioe..
Boss kuoa nimuhimu ila usimkamilishe binadamu kwakigezo cha ndoa. Maana kwaujumla unafikra kuwa mwanamke atamkamilisha mwanaume, wakati biblia ilishasema amelaaniwa amtegemeae mwanadamu. Frontliners wa kupinga ndoa walikuwa wanawake through feminism hivyo wanaume walipokubali matokeo mwanamke analilia ndoa tena so ni kama mind games kwa wadada hawajui kuwa ni maisha haya.Kumbuka uhalisia sio sinema ni kuact,sasa mnashindwaje kuact kwa usahihi.
Wewe utakua mwanaume sumbua au ni stingy,mnahisi mkioa wadada wanafaidi Sana.
Mwanaume kamili ni yule alieoa.
Mkuu wangeshtuka hizo kesi zingeisha ila ndio kwanza zinazidi. Tamaa, wadada na tamaa, ni tatizo aisee.Nimecheka sana yaan ulivyoandika vizuri ingekuwa NECTA basi ungepata 76%,kuna wengi wanakufa wakiwa peke Yao wanakuja kugundulika baada ya harufu kuwa Kali sababu wanaishi peke Yao kama vp tafuta mtu mueleze wewe sio Muoaji mponde raha tuu utaona atakaa muda gani kabla ya kukukimbia,tatizo hamsemi then Maisha haya wadada wameshtuka kuwa wamekuwa wa kuzalishwa tuu Nyie wa kataa Ndoa mnatengeneza single mother wengi sana
Wanawake wa siku hizi huwezi kuishi naye mpk miaka 65yrs.Come 65 years utajutia kufika 35 kuwa hujaoa
Kumbuka uhalisia sio sinema ni kuact,sasa mnashindwaje kuact kwa usahihi.
Wewe utakua mwanaume sumbua au ni stingy,mnahisi mkioa wadada wanafaidi Sana.
Mwanaume kamili ni yule alieoa.
Haya usioe basi nunua tu Malaya.Unaweza kuoa na watoto wasiwe na bond na wewe more over wasiwe hata wa kwako.
Wanakuwaga wasumbufu sana watu wa hivyo..!! Ni swa na mtoto anayekataa shule akiwa form two kwa kujiona anayaweza yote kwa kujiamini kijinga kwake..!! Ukifika muda wa kutakiwa kuondoka home ndo shughuri inaanzia hapo.. Kila mtu mbaya, kila urithi atataka apambane na watu..!! Kila atakayemnyima chochote maelewano yanaondokaKupanga ni kuchagua mzee kila mtu afe na msalaba wake sio kuanza kusumbuana kuhudumia mtu aliyekataa kujenga familia yake
Kuna hatua ya utu uzima ukifika halafu hauna msaidizi(mke) ndani ya nyumba inakuwa changamoto sana.Wanakuwaga wasumbufu sana watu wa hivyo..!! Ni swa na mtoto anayekataa shule akiwa form two kwa kujiona anayaweza yote kwa kujiamini kijinga kwake..!! Ukifika muda wa kutakiwa kuondoka home ndo shughuri inaanzia hapo.. Kila mtu mbaya, kila urithi atataka apambane na watu..!! Kila atakayemnyima chochote maelewano yanaondoka
Usingke maza wanautaka wenyewe maana wao wanapanua panua miguu hovyoNimecheka sana yaan ulivyoandika vizuri ingekuwa NECTA basi ungepata 76%,kuna wengi wanakufa wakiwa peke Yao wanakuja kugundulika baada ya harufu kuwa Kali sababu wanaishi peke Yao kama vp tafuta mtu mueleze wewe sio Muoaji mponde raha tuu utaona atakaa muda gani kabla ya kukukimbia,tatizo hamsemi then Maisha haya wadada wameshtuka kuwa wamekuwa wa kuzalishwa tuu Nyie wa kataa Ndoa mnatengeneza single mother wengi sana
Ukiwanna hela unapata kabinti kabici kanakuhudumia tuu cha msingi ukubali kuliwa hela zakoKuna hatua ya utu uzima ukifika halafu hauna msaidizi(mke) ndani ya nyumba inakuwa changamoto sana.
Kuna muda unafika nguvu zinaisha akili inachoka,mwili unachoka na magonjwa yanakimbizana
SI kuliwa hela zako tu, bali hata kugongewa na wewe kuhudumia wanaume wake wanaomnyandua akanyandukaUkiwanna hela unapata kabinti kabici kanakuhudumia tuu cha msingi ukubali kuliwa hela zako
Kumbuka pesa zinaisha ila utu unaishi.Ukiwanna hela unapata kabinti kabici kanakuhudumia tuu cha msingi ukubali kuliwa hela zako
Wacha anikimbie ila mambo ya kupigana pini na warembo wamejaa tele hapana. Hizi mbususu tuzigegede tuu jamani. Uzeeni tutajuaga huko hukoKumbuka pesa zinaisha ila utu unaishi.
Hizo pesa atazitumia ovyo zikiisha atakukimbia tu
Ya uzeeni unayajua hata sasa..!! Hili la kusema tutajuaga huko huko ni sawa na mbuni anayeingiza kichwa majanini akiamini adui asipomuana maana yake hayupo.Wacha anikimbie ila mambo ya kupigana pini na warembo wamejaa tele hapana. Hizi mbususu tuzigegede tuu jamani. Uzeeni tutajuaga huko huko