Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,416
- 16,603
HIyo vive versa. Kibongo bongo wanaume wengi hufutuķa baada ya kuoa. Lets say 99.9%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HIyo vive versa. Kibongo bongo wanaume wengi hufutuķa baada ya kuoa. Lets say 99.9%
Hivi unafahamu kuwa kuna kila uwezekano ukaoa ukawa na miaka 25 ukajaliwa watoto then ukafika miaka 35 ukiwa peke yako tu wote watoto na mama yao wakawa ni marehemu.Kwa sasa una nguvu. Una uwezo wa kufanya kila kitu mwenyewe. Utafikia umri ambao unahitaj msaada wa mtu mwingine. Na kuna misaada anayeweza kuitoa ni mke wa ndo tu..!! Sasa leo hii hujaowa na una miaka 35, utakapofika miaka 65, na huku huna mke uliyejenga naye mahusiano mazuri tangu ukiwa 57 year ulipoowa, tegemea kupata shida sana.
🤣🤣🤣🤣😅😅fala sana we jamaa😅😅
ajira ipi mzee mimi mwalimu ujue , mkulima na nafanya biashara , shida mimi nin watoto wawili sina mzuka na mama yao nawaz nikuvut mke mwingine wanangu watanyanyasika sana hasa huyu wa kiume , au mam yao aishi n baba mwingine ( bodaboda) hasa itakuwaje upende wa watoto hilo limekuwa mtihaniTAFUTA AJIRA KWANZA HAMU ITAKUJA
Hata muoaji anaweza kuwa mkosi kwa mke wakeOa tu ila utapata mojawapo ya haya
1. Mke mwema mwenye kibali, hapa mambo yako yatanyooka mnoo na utawqshangaa wanaoponda ndoa
2. Mke mwenye makelele na gubu, hapa utaona ndoa ni mzigo na utumwa kifupi utaona hufurahii...
3. Mke mwenye mikosi na nuksi, hapo utajiona hupigi hatua yoyote na utajiunga na team kataa ndoa
Hivyo basi oa mengine utajua humo humo ndani ya ndoa
Ndoa ni Ujinga na Utapeli wa kizamaniOeni jamani
niletee mdada awe ni graduate wa muhimbili universOeni jamani,mnataka kutengeneza taifa la namna gani,wadada hawana ndoa sababu yenu mnaendekeza mambo ya mrengo mwingine.
Mjitafakari.
Mhhhsasa nina miaka 35 sipati hamu kabisa ya kuoa n kuishi n mwanamke ,labda aje tu nichaape aondoke , ziko shida nyingi na hatari nyingi ninazoweza kupata kwa kutoishi na mwanamke, kiufupi sina sababu ya msingi ya kuwa bachela hadi sasa ? hakuna kitu nakerwa kama kulizwa naoa lini , current sina hata mwanamke anayenivutia kuishi naye siwaelewi, natamani kuishi na mama watoto ila naona kama sina mzuka naye weweunasababu ipi inakufanya umri ukutupe mkono na usishi na mke
kuna siku nipo kwangu nimejifungia nakula injili kupitia radio nasikia kwa wale wenye pepo l kutotaka kuoa dah i felt badMhhh
Sanaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii picha ina ujumbe mzito sana japo huwa inachekesha
Ndio ni pepo tena la kizungukuna siku nipo kwangu nimejifungia nakula injili kupitia radio nasikia kwa wale wenye pepo l kutotaka kuoa dah i felt bad
Unatutisha mkuuCome 65 years utajutia kufika 35 kuwa hujaoa
Ukweli utakbaki kuwa hivyo, uwe unatisha au la..!!Unatutisha mkuu