ππππWee huwajui wanawake.....unaweza kuwa na pumbu za miaka 80 na bado wakazinyonya mzee. Wee kuwa na hela na warembo utawagegeda tuu. Cha msingi ni kuwa na mtazamo wa kwamba hawa wanawake ni chombo cha starehe. Usilete sikui oh nakupenda. Wee wagegede tuu
alafu maself kinomaaa. hawa ni kuwalia timing tuu, kuna muda wenyewe wanataka kutulia na kidume sasa unajibebea bure bure tuu.KUOA SIO KAMA KWENDA KUNUNUA VOCHA DUKANI JAMANI ,NI SUALA DEEP SANA NA LINALOHITAJI UTULIVU NA MAAMUZI MAZURI SIO LAZIMA UKIWA 30SOMETHING UWE USHAOA , WANAWAKE WA SIKU HIZI WENGI WAO HAWAELEWEKI ASILIMIA KUBWA
Yesu alikamilisha mission yake akiwa na miaka 32 tu huenda angeendelea kuishi Angeoa kama ulivyo utaratibu alioukuta duniani na ambao upo mpaka leo.Yesu alioa ? Adam alioa ?
Naomba majibu
NAKAZIAKATAA NDOA
Broo, mwanamke anakuwa kulingana na wewe unavyomtreat.Wee huwajui wanawake.....unaweza kuwa na pumbu za miaka 80 na bado wakazinyonya mzee. Wee kuwa na hela na warembo utawagegeda tuu. Cha msingi ni kuwa na mtazamo wa kwamba hawa wanawake ni chombo cha starehe. Usilete sikui oh nakupenda. Wee wagegede tuu
Hiyo mentality itakufanya usifanye chochote duniani, Utakwepa kukunua gari kisa linaweza pata ajali ukapata hasara?Hivi unafahamu kuwa kuna kila uwezekano ukaoa ukawa na miaka 25 ukajaliwa watoto then ukafika miaka 35 ukiwa peke yako tu wote watoto na mama yao wakawa ni marehemu.
Kamwe usijifariji eti uzeeni watoto na mke wako watakuhudumia, hujui ni lini watafariki na pengine wakakuacha wewe na upweke huku duniani.
Ndoa sio dhamana ya maisha bora uzeeni.
Wamekuelewa vzuriDunia inachange sana, style ya maisha hubadilika kila uchwao,kwa hali na maisha ya kitanzania kusave pesa ya kutosha kukidhi mahitaji ya kuja kuhonga uzeeni ni kazi, kumbuka ukiwa mzee huna mvuto tena, hata ukifanya biashara hawanunui, nani atanunua bidhaa za mzee wakati kutakuwa na vijana wa wakati huo wenye mvuto na mawazo mapya na mbinu za wakati huo?
Ramani unazozipata leo ukiwa na age mate wako ukiwa mzee hutaweza ku compete na vijana,
Unachotakiwa kufanya mda huu ni kutengeneza familia na uwe na bond na kizazi chako, ujue wameamkaje , wanakula nini, mtoto akianguka umwinue mpe pole jenga uhusiano ili uweke akiba ya fadhila kwenye moyo wake. Usiseme kuwa hatakujali na ukanipa mifano uchwara, Zimwi lokujualo halikuli likakwisha
Ukizeeka hata akili zako hazitafanya kazi vizuri, utaanza kujinyea na utahitaji pampas, utapata stroke , sijui binti wa wap ndogo atakutunza kwa hali hiyo na sijui utampa shilingi ngapi, ila kati ya utakaowazaa yupo mmoja tu Mungu atampa roho ya kukuhudumia.
Labda kama utakataa ndoa basi omba Mungu ufe mapema, hapo ntakuunga mkono.