Wenye umri wa miaka 35 hamjaoa na hamna hamu ya ndoa njooni tujadili

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
KUOA SIO KAMA KWENDA KUNUNUA VOCHA DUKANI JAMANI ,NI SUALA DEEP SANA NA LINALOHITAJI UTULIVU NA MAAMUZI MAZURI SIO LAZIMA UKIWA 30SOMETHING UWE USHAOA , WANAWAKE WA SIKU HIZI WENGI WAO HAWAELEWEKI ASILIMIA KUBWA
alafu maself kinomaaa. hawa ni kuwalia timing tuu, kuna muda wenyewe wanataka kutulia na kidume sasa unajibebea bure bure tuu.
 
Yesu alioa ? Adam alioa ?

Naomba majibu
Yesu alikamilisha mission yake akiwa na miaka 32 tu huenda angeendelea kuishi Angeoa kama ulivyo utaratibu alioukuta duniani na ambao upo mpaka leo.

Adam alioa na mkewe aliitwa Hawa(si mbaya ukasoma Bible mara moja moja inaonekana husomagi) Na mtoto wake wa kwanza Aliitwa Kaini.

By the way sijarefer visa vya wahusika wa biblia, nazungumzia maisha halisi na tunayoshuhudia kwa akina KATAA NDOA.

Si mbaya kutokuoa kwako maana hutashitakiwa popote na hamna mtu atakufata akikulazimisha umuoe ila inapaswa ujiandae na matokeo yake.

Utazaa watoto lakini hutatengeneza bond(muunganiko), watakutreat kama mtu aliyewazaa na akawa hana Mchango kwenye maisha yao, Huna falsafa ulizowafundisha, wewe kazi yako ni kuwatumia pesa tu ukijidanganya kuwa ndo malezi yenyewe huku ukiendelea kuishi kihuni huni kujistarehesha na vimada na wanawake mbalimbali kwa kukidhi mahitaji yako ya kingono na hii ni dhambi ya uasherati eti hutaki kuweka mwanamke ndani.

Utawatumikia wanawake mbali mbali wakikumaliza nguvu zako za ujanani na kwa sababu wanawake watajua unawatumia kingono hakuna atakayekuwa na huruma na wewe watakutumia pia kutimiliza mahitaji yako wakichoka watakuacha na kuungana na wanaume wenye malengo nao, usije ukadhani wanawake hawana akili.

Kila umri una interest zake, ukifika umri fulani kuanzia 45 above, utapata msukumo wa kutamani familia na utakua umechelewa sana, huo umri ni ngumu kujenga bond na mtu wa rika lolote, utaoneka loser, hamna atakayekuamini iwe kanisani hata kwenye jamii, hutadumu na yeyote mara nying utakuwa insecure.

Oa acha ujinga, you can't resist nature.p
 
Broo, mwanamke anakuwa kulingana na wewe unavyomtreat.

Ukimtumia kama chombo cha starehe na yeye anakutrea kama ATM Machine,

Ukimtreat kama msaidizi na yeye anakusaidia.

Yap wapo wasio na shukran lakini sasa utafanyaje ishi nao hivyo hivyo no body is perfect, being a human means to make mistakes unless she is an angel.

Ukitaka ukamilifu kwa yeyote labda umzae wako,

Akikunyonya pumbu na wewe mnyonye puss, hahaha.
 
Hiyo mentality itakufanya usifanye chochote duniani, Utakwepa kukunua gari kisa linaweza pata ajali ukapata hasara?

Utakwepa kujenga nyumba kisa tetemeko la ardhi linaweza kutokea likabomoka?

Eti kwama uogope kuoa kisa unaweza oa afu ukapoteza mke na mtoto?

Hiyo ni bahati mbaya kwa watu wachache tu, ikitokea ni maisha ndo yalivyo.
 
Wamekuelewa vzuri

Sema ktk Malombano ya Hoja lazima pande mbili zivutane ili kuchagamsha.

Big up chief, [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…