Wenye uzoefu wanisadie nahisi kabisa sio mtu wa kawaida

Kwamba kiufupi ulikutana na toto la snika?
 
Hao wa mombasa wakija dar wengi hua hawapo kikaz wala nini ni wauza k ki digital


We jichanganye tu...nimekutana nao wengi sna tinder
 
FaizaFoxy kwaiyo umenicheat mke wangu eeeh umeenda kukitembeza huko tiptop ngoja nirudi jplil ntakuonyesha mm ni nani πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜€πŸ˜€
 
Harufu yenyewe mbaya au nzuri? We Bantu Lady njoo unene jambo huku. Kuna mwamba harufu imemngΓ‘ngΓ‘nia
 
Harufu yenyewe mbaya au nzuri? We Bantu Lady njoo unene jambo huku. Kuna mwamba harufu imemngΓ‘ngΓ‘nia
Wee mimi mwenyewe nilishakutana na jini mwanamke. Alinifyonza mfyonzo mrefu si wa nchi hii. Baada ya hapo, hatukumpata ndani ya sekunde.

Kariakoo ndanindani, maana aliniangalia muda hakuwa anasema kitu, ndiyo mwisho akafyonza. Wenyeji pale wakasema ni jini huyo!!!
 
MI sitoi comment yoyote baada ya hisia zako kukutuma kuwa sie wote ni kenge[emoji51][emoji51][emoji3]
 
Mnyandua vigodoro wa Boko kapata miss Mombasa anaona kapata jini. Kumbe kapata mtoto wa mjiniπŸ˜‚
 
Kwanini ulijirahisisha ivyo ww mwanaume?,Kama ni kweli nenda kaombewe kabla mambo hayajawa makubwa.
Huko kukosa furaha na kuwa na wasiwasi Kuna maana Sanaa ktk mwili Jambo baya linapo ingia.
 
cheap as hell,vinywaji ulipiwe na gesti uingizwe kesho ukijikuta mke wa mtu unaanza kulialia ohh mimi namkosi ohh mie askari......shubamit nyie ndomnaichelewesha mvua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…