Wenye wapenzi (wanawake) humu JF mliwezaje kuwapata?

Wenye wapenzi (wanawake) humu JF mliwezaje kuwapata?

Tupeane uzoefu wakuu, inauma sana unaweka chapisho lako kuhusu mambo ya kilimo mtu anakuja kuchati na demu wake, mara mashemeji, mara mawifi, hivi hawa mademu zenu muliwapataje muliwa aprochi kijeiefu jeiefu au ilikuwaje hadi mukawapata?

Mwisho kabisa kama kuna demu munajuwa yuko singo humu nishtueni nianze kumlia doria.
🤣🤣🤣🤣👏👏🤣🤣🤣🤣
 
Tupeane uzoefu wakuu, inauma sana unaweka chapisho lako kuhusu mambo ya kilimo mtu anakuja kuchati na demu wake, mara mashemeji, mara mawifi, hivi hawa mademu zenu muliwapataje muliwa aprochi kijeiefu jeiefu au ilikuwaje hadi mukawapata?

Mwisho kabisa kama kuna demu munajuwa yuko singo humu nishtueni nianze kumlia doria.
Nenda kwanza kasafishe nyota Kisha urudi saa6 usiku humu sawa kijana
 
Hapana kaka, kwani wewe hutaki uwe unalitagi shemu lako mnapiga stori! mbona itapendeza
I don't trust in love brother!

Siamini kama Kuna mwanamke mwenye anaweza kuendana na ndoto na maono niliyo nayo ... Si kama hawapo! Ila Sijakipa Kipaumbele hicho kitu!

Maisha ni muda!
Maisha ni Nyakati!
Maisha ni hadithi!

Siwezi ku mingo na mwanamke just for sex, siwezi ku pretend ... Maana NACHUKIA kuwa sehemu ya maumivu na majonzi katika maisha ya watu wengine!

Nilishaumiza mioyo ya wadada huko nyuma kwa Sababu ya ubinafsi wangu na tamaa tu ya sex! ... Nikajifunza!

I enjoy kuishi kama frateriii 😂!

Life linasonga!

Sikujiumbaaa!
Sikutumia maombi ya kumuomba anilete duniani!

So kama katika kusudi alilonipa kulitimiza hapa duniani kabla sijafa! Litahitaji niwe na mke atanipa tu kwa wakati wake!

Kama halihitaji mke, fresh pia!
 
Back
Top Bottom