Wenzangu bao tatu mnapigaje? Mbona mimi moja tu nakinai kupita maelezo!

Wenzangu bao tatu mnapigaje? Mbona mimi moja tu nakinai kupita maelezo!

Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!

Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
HATA Chama anamshanga nzizi anafungaje? Cha kufanya wacha hiyo mambo, kuwa mshauri wa vijana.
 
Usilazimishe mapenzi we kuwa hata mwanafalsafa kama wale kina Plato anza kufuga nywele ndevu na kuweka kidole jirani na jicho
Ongea vitu vigumu vigumu
Mapenzi yaache
Kuweka kidole jirani na jicho unamaanisha avute mjani au😂
 
Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!

Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
Hiko kimoja huwa unatumia dk ngapi tuanzie hapo kwanza!
 
Naomba nieleweke, si kwamba nachoka ila nakuwa najisikia vibaya mpaka basi......kama Kuna kichefuchefu flani kinakuja. Hata ikitokea nokaendelea, basi siinjoi kabisa kabisa, nakuwa najilazimisha tu.
UMerogwa mkuu nenda kwa mwamposa
 
Mapenzi ni starehe sio vita kamoja kanatosha acha kuchosha mwili wako
 
Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!

Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
Huo ndio upungufu wenyewe wa nguvu za kiume.
Au kabla ya tendo unaipania san ndio maana ukijaipata unaona kumbe kawaida sana
 
Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!

Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
Hujapata DEMU unayempenda? 😂
 
Na mim nahisi ni hivyo maana cha kwanza napiga nisipokaa vizur naweza nisimalize,ila kurudia cha pili sikuiz sijui shida iko wapi maana hapa nyuma kidogo nilikuwa naweza kuunganisha au kupiga mda wowote,ila saiz siwez kirudia tena hadi najishaangaa sijui ni umri,
Una umri gani?
 
Back
Top Bottom