Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
HATA Chama anamshanga nzizi anafungaje? Cha kufanya wacha hiyo mambo, kuwa mshauri wa vijana.Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!
Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
Kuweka kidole jirani na jicho unamaanisha avute mjani au😂Usilazimishe mapenzi we kuwa hata mwanafalsafa kama wale kina Plato anza kufuga nywele ndevu na kuweka kidole jirani na jicho
Ongea vitu vigumu vigumu
Mapenzi yaache
Hiko kimoja huwa unatumia dk ngapi tuanzie hapo kwanza!Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!
Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
Labda umri(41) hivyo vingine sina kbsUmri, kisukari na presha mkuu
UMerogwa mkuu nenda kwa mwamposaNaomba nieleweke, si kwamba nachoka ila nakuwa najisikia vibaya mpaka basi......kama Kuna kichefuchefu flani kinakuja. Hata ikitokea nokaendelea, basi siinjoi kabisa kabisa, nakuwa najilazimisha tu.
Itakuwa ni umri mkuuLabda umri(41) hivyo vingine sina kbs
Hiv fortyz nguvu zinapungua sana?Itakuwa ni umri mkuu
Sijui maana sijawahi kufika hukoHiv fortyz nguvu zinapungua sana?
Situmii hivyo mkuuAcha visungura na chang'aa, kula vizuri, kunywa maji mengi, bangi kidogo..... HATA KUMI UTATOBOA.
Ndo hivyo, baada ya hapo hamu inatoweka tu.Kamoko kama kuku mkuu au
UongoooSiku nilikandaga goli 4 mtu mpka akiwa anakojoa kojo alikuwa anapiga kelele kwa maumivu
Una maanisha siwezi kukanda au naleta jokesUongooo
Huo ndio upungufu wenyewe wa nguvu za kiume.Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!
Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
Hujapata DEMU unayempenda? 😂Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!
Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
Inatakiwa iwe angalau dakika 15Bao Moja nususaa unatafuta mtotooo kha
Uongoooo!!Una maanisha siwezi kukanda au naleta jokes
Halafu siku ya valentine nilikutafuta PM nikutumie zawadi, kumbe umefunga PM, ni-inbox haraka kabla sijaila zawadi yako.Mimi ndo ninaeijua 😅
Una umri gani?Na mim nahisi ni hivyo maana cha kwanza napiga nisipokaa vizur naweza nisimalize,ila kurudia cha pili sikuiz sijui shida iko wapi maana hapa nyuma kidogo nilikuwa naweza kuunganisha au kupiga mda wowote,ila saiz siwez kirudia tena hadi najishaangaa sijui ni umri,