Wenzangu bao tatu mnapigaje? Mbona mimi moja tu nakinai kupita maelezo!

HATA Chama anamshanga nzizi anafungaje? Cha kufanya wacha hiyo mambo, kuwa mshauri wa vijana.
 
Usilazimishe mapenzi we kuwa hata mwanafalsafa kama wale kina Plato anza kufuga nywele ndevu na kuweka kidole jirani na jicho
Ongea vitu vigumu vigumu
Mapenzi yaache
Kuweka kidole jirani na jicho unamaanisha avute mjani au😂
 
Hiko kimoja huwa unatumia dk ngapi tuanzie hapo kwanza!
 
Naomba nieleweke, si kwamba nachoka ila nakuwa najisikia vibaya mpaka basi......kama Kuna kichefuchefu flani kinakuja. Hata ikitokea nokaendelea, basi siinjoi kabisa kabisa, nakuwa najilazimisha tu.
UMerogwa mkuu nenda kwa mwamposa
 
Mapenzi ni starehe sio vita kamoja kanatosha acha kuchosha mwili wako
 
Huo ndio upungufu wenyewe wa nguvu za kiume.
Au kabla ya tendo unaipania san ndio maana ukijaipata unaona kumbe kawaida sana
 
Hujapata DEMU unayempenda? 😂
 
Una umri gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…