Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Kumbe tayariNakujibu Kwa ushahid tuView attachment 2425210
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe tayariNakujibu Kwa ushahid tuView attachment 2425210
Hapana hatuishi kama wanyama lazima tusemePilipili sizozila zakuwashaje? very likely wewe ni mfanyakazi
Hongera Mkuu.Nakujibu Kwa ushahid tuView attachment 2425210
Hongera ipi. Kakwambia wakwakeHongera Mkuu.
Kweli Mkuu, hongera imfikie huyo aliepokea Mkwanja huo.Hongera ipi. Kakwambia wakwake
Kwangu mpaka sasa bila bila aiseeeeJamani hivyo vihela vyenu vya November vimetoka?
Am serious!!
Agreed!Hapana hatuishi kama wanyama lazima tuseme
Ila kuna watu wana uongo mwingi sana....mbona mishahara tayari we umetoa wapi hizi habariiiiKipindi hichi
Hamtalipwaaa ,
Serikali imepeleka hela kwenye miradi ya maendeleo na tulikuwa na mchakato wa
Mkopo umekwama mahali
Hivyo muwe na subiria tuuu na taarifa zitatolewa kwenue .na msemaji mkuu wa serikali.
Acha uongo mshahara badoIla kuna watu wana uongo mwingi sana....mbona mishahara tayari we umetoa wapi hizi habariiii
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Hivi kuna shida gani mpaka wanalipa mshahara kwa makundi makundi?Acha uongo mshahara bado
Nipo nakula bia hapa kwa mshahara..tena CRDB.....Acha uongo mshahara bado
Bank gani???
Labda kama iwe wanalipa kwa makundi ila mimi nimelipwa tayariiiii na ni CRDBHivi kuna shida gani mpaka wanalipa mshahara kwa makundi makundi?
Hii haiwezekani mkuu...tutakufa njaaPamoja na majukumu, na Hali ngumu ya maisha mfumuko n.k
Jitahidi mshahara mmoja ukutane na mwingine(mfano mshahara was Nov ukutane na wa Dec) ,,,, panga budget zako vizuri !
Epuka madeni kwa mangi!
Kaka, acha ubishi kama umepokea ni sawa, lakini usilazimishe na ambao hatujapata tuseme tumepataNipo nakula bia hapa kwa mshahara..tena CRDB.....
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Ndio maana nimesema kama wanalipa kwa awamu ni sawa....ingawa mimi tayariiiii...chungulia account usisubiri msg za bankKaka, acha ubishi kama umepokea ni sawa, lakini usilazimishe na ambao hatujapata tuseme tumepata