franck kamotta
Member
- Feb 9, 2019
- 95
- 113
Mshahara bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshahara bado
Labda kama hauna sim bank servicesMshahara badoView attachment 2425251
We jamaa ni mbishii....nakwambia mshahara tayariiiii huamini unataka niniUkitaka ujue mshahara umeingia ni hii thread kufa
Duuh.....haya subiri ila wengine tunakaribia kuumaliza mshahara hapa
Utakuwa umechangishwa kikao cha jana cha kumuazimia Bashiru bloangu,ukae kwa kutulia tuNimepata mshahara pungufu sijui hazina wamekosea au mimi ndiye ninamajanga na muuliza Afisa utumishi naye hajui kwanini nimepata kiasi hicho cha mshahara anasema nisubiri salary slip mwishoni mwa mwezi huu.
Ila ngozi nyeusi ni wagumu kuamini....ko unataka nikupe mpaka miamala yangu ya bank ndio uaminiJamaa anayesema tayari anatupanga, katumwa atuamishe kwenye reli, mshahara wameubetia walimpa Argentina na Germany wamesepa nao, watumishi tutakoma
Hahahahahahahaaaaaa hahahaahhaJamaa anayesema tayari anatupanga, katumwa atuamishe kwenye reli, mshahara wameubetia walimpa Argentina na Germany wamesepa nao, watumishi tutakoma
Mshahara tayariiiii we jamaaaaJamaa anayesema tayari anatupanga, katumwa atuamishe kwenye reli, mshahara wameubetia walimpa Argentina na Germany wamesepa nao, watumishi tutakoma
mshahara umetoka toka janaWe jamaa ni mbishii....nakwambia mshahara tayariiiii huamini unataka nini
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Mwambie wewe labda atakuelewamshahara umetoka toka jana
Anasema nchi imechoka,inalipa mishaharakwa mafungu,ile tilioni moko iliyokopwa juzkat itakuwa ndio inafidia hilo gap,kazi ipo bloangu,tuombe sana Mola atunusuru,kaongea kwa uchungu sana ndotoni kwanguBashiru anasemaje Kwani??
Njoo tuuze Karanga na mayai ya kuchemsha, inalipa sana halafu tunafungua migahawa kikubwa kama KFC halafu tunakua Motivational Speakers. Kisha tunahamia CCMAnasema nchi imechoka,inalipa mishaharakwa mafungu,ile tilioni moko iliyokopwa juzkat itakuwa ndio inafidia hilo gap,kazi ipo bloangu,tuombe sana Mola atunusuru,kaongea kwa uchungu sana ndotoni kwangu
Hao jamaa ni miyeyusho sana,jitele tu uingie kwenye mbanga hzo,utaimba haeluyaaaaa,😂😂😂😂Njoo tuuze Karanga na mayai ya kuchemsha, inalipa sana halafu tunafungua migahawa kikubwa kama KFC halafu tunakua Motivational Speakers. Kisha tunahamia CCM
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣😂🤣🤣☻☻☻☻☻Ila kuna watu wana uongo mwingi sana....mbona mishahara tayari we umetoa wapi hizi habariiii
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app