Tuko pabaya....Baada ya mgao wa umeme na Maji Sasa ni mgao wa mshahara.
Wengine walilipwa Jana, wengine Leo asubuhi na mpaka sasa Kuna wafanyakazi hawajapata mshahara wao wa November.
Anyway tutafika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuko pabaya....Baada ya mgao wa umeme na Maji Sasa ni mgao wa mshahara.
Wengine walilipwa Jana, wengine Leo asubuhi na mpaka sasa Kuna wafanyakazi hawajapata mshahara wao wa November.
Anyway tutafika
Wewe naye unaunga mkono upuuzi bila kutafakari.Tuko pabaya....
Oya mtu mmoja kalalamika unatuweka wote. Komaa na mtoa mada sio Wananchi wote.Watanzania
Sawa mkuu. Jamaa kanitia hasira kwa kulalamikia vitu trivial. Hadi aibu.Oya mtu mmoja kalalamika unatuweka wote. Komaa na mtoa mada sio Wananchi wote.
Sidhani. Hata kama ni ukweli, kutofautiana kwa siku moja hadi mbili kunakuwaje hoja? Sekta za umma ziko nyingi. Si rahisi wote kuingiziwa mishahara kwa mara moja.Aisee ni kweli?
Mkuu, Vipi umeshapata?Bank gani???
Bilabila, wamebetia mshahara wetu hawa wameliwaMkuu, Vipi umeshapata?
Duh! Noma.Bilabila, wamebetia mshahara wetu hawa wameliwa
Na bila shaka itakuwa ni kwenye zile mechi mbili za kombe la dunia!Bilabila, wamebetia mshahara wetu hawa wameliwa
Now tayari sasa.Bilabila, wamebetia mshahara wetu hawa wameliwa
Kosa la nani?Sisi wakulima hatuna hata mahindi ya kupandia wala mbolea hakuna.
Baada ya kuliwa game ya argentina wakaamua hela yote iliyobaki wampe Belgium na Spain, ndio walipopineaNow tayari sasa.