mtongwe
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,652
- 4,468
Ni jambo zito sana ila linahitaji mkakati mkubwa kwa familia katika kulitokomeza
Mama na baba wapya wajue wanapambania nini kwa ajili ya kizazi chao na si bora kuzaa kwa nia ya kuijaza dunia bila ya kupanga namna gani huyo mtoto mnataka awe, hivyo basi mkifeli ktk hilo la kujua na kumuandaa mtoto au watoto mtakao waleta wawe katika viwango vipi vya maisha basi ni wazi itakuwa ngumu kwa watoto kufikia hatua ya kuukwepa ufukara
Kikwazo ni hizo ndoa au mahusiano ya baba na mama ya kuweza kulea kwa pamoja huku mkijenga hiyo misingi kwa watoto wenu ndoa hazipo na kama zipo nyingi zinakuwa mfu au za mitikisiko mikubwa ikipelekea kila mzazi kuvutia kwake.
Kupambana na ufukara ni vita kuubwa inayohitaji imani kuu kwa muumba wako, ari kuu, nidhamu, mikakati, maelewano na uvumilivu usio kifani
Mama na baba wapya wajue wanapambania nini kwa ajili ya kizazi chao na si bora kuzaa kwa nia ya kuijaza dunia bila ya kupanga namna gani huyo mtoto mnataka awe, hivyo basi mkifeli ktk hilo la kujua na kumuandaa mtoto au watoto mtakao waleta wawe katika viwango vipi vya maisha basi ni wazi itakuwa ngumu kwa watoto kufikia hatua ya kuukwepa ufukara
Kikwazo ni hizo ndoa au mahusiano ya baba na mama ya kuweza kulea kwa pamoja huku mkijenga hiyo misingi kwa watoto wenu ndoa hazipo na kama zipo nyingi zinakuwa mfu au za mitikisiko mikubwa ikipelekea kila mzazi kuvutia kwake.
Kupambana na ufukara ni vita kuubwa inayohitaji imani kuu kwa muumba wako, ari kuu, nidhamu, mikakati, maelewano na uvumilivu usio kifani