Wenzetu mmewezaje kuvunja 'cycle' ya umasikini wa ukoo/familia?

Wenzetu mmewezaje kuvunja 'cycle' ya umasikini wa ukoo/familia?

Ili vicious cycle of poverty ivunjwe lazima mwanafamilia mmoja asacrifice maisha yake kusaidia wanafamila wenzake. Achelewe kuoa, kipato na mda wake vitumike kuwakomboa kielimu ndugu zake.
20230111_230219.jpg
 
Nimeshindwa kuelewa kipi ni kipi baada ya kupitia komenti maana ..

Kuna mtu anasema familia ilipambana kwa umoja wote wakafika chuo so kufika chuo ndiyo utajiri ?

Mwingine mara tulisoma mpaka chuo na sasa wote tumeajiliwa so kuajiliwa ni utajiri?

Mwingine mara unakuta mtoto mkubwa kamaliza chuo kakosa ajira na waliomfuata wote wamekosa ajira kama yeye so kumbe wangepata ajira ndiyo utajiri wenyewe ?

Guys ni kweli kuwa mafanikio ya mtu yanategemea sana familiy background japo sio kwa asilimia zote .

Ila natamani tujue ni nini maana ya utajiri sio hizi bla bla za mtu kuajiliwa mara kusoma mpaka chuo kikuu sababu hapo mtaani kwako na kijijini kwenu ni wangapi wana ajira nzuri ila kujenga na kufanya makubwa wanategemea mikopo ?

Je hauishi na waajiliwa wenye hali tete kuanzia maisha mpaka family background zao ?

Come on friends, utajiri tunaosema ni ule uwe na uwezo wa kula , kuishi , kuitunza familia yako na ukoo ila uwe na miradi yenye ustahimilivu imara pasipo kuwa juu ya presha za hiki kikiharibika kesho nitaishije.

Haitoshi ni lazima nikuelezeni kuwa kuajiriwa na kusoma mpaka chuo kikuu hakutufanyi tukuite tajiri ila wewe ni kapuku kama makapuku wengine ikiwa ni mtu wa kusubiri tarehe 23/24 ili mipango yako ikae sawa .

Rai yangu ni kwa vijana wakati ni sasa na muda ni sasa tunaweza kusimama na kuzipambania ndoto zetu bila kujali familia zetu au koo zetu zimetufelisha vipi kikubwa believe in God start hustling until you fulfil your dreams muda ni sasa guys.

Asikudanganye mtu eti kuwa na ajira ni utajiri nop ni njia tu ikiwa una akili ila kama una ni kuongeza mawazi na kusubiri kifo .

Asanteni .
 
Nimeshindwa kuelewa kipi ni kipi baada ya kupitia komenti maana ..

Kuna mtu anasema familia ilipambana kwa umoja wote wakafika chuo so kufika chuo ndiyo utajiri ?

Mwingine mara tulisoma mpaka chuo na sasa wote tumeajiliwa so kuajiliwa ni utajiri?

Mwingine mara unakuta mtoto mkubwa kamaliza chuo kakosa ajira na waliomfuata wote wamekosa ajira kama yeye so kumbe wangepata ajira ndiyo utajiri wenyewe ?

Guys ni kweli kuwa mafanikio ya mtu yanategemea sana familiy background japo sio kwa asilimia zote .

Ila natamani tujue ni nini maana ya utajiri sio hizi bla bla za mtu kuajiliwa mara kusoma mpaka chuo kikuu sababu hapo mtaani kwako na kijijini kwenu ni wangapi wana ajira nzuri ila kujenga na kufanya makubwa wanategemea mikopo ?

Je hauishi na waajiliwa wenye hali tete kuanzia maisha mpaka family background zao ?

Come on friends, utajiri tunaosema ni ule uwe na uwezo wa kula , kuishi , kuitunza familia yako na ukoo ila uwe na miradi yenye ustahimilivu imara pasipo kuwa juu ya presha za hiki kikiharibika kesho nitaishije.

Haitoshi ni lazima nikuelezeni kuwa kuajiriwa na kusoma mpaka chuo kikuu hakutufanyi tukuite tajiri ila wewe ni kapuku kama makapuku wengine ikiwa ni mtu wa kusubiri tarehe 23/24 ili mipango yako ikae sawa .

Rai yangu ni kwa vijana wakati ni sasa na muda ni sasa tunaweza kusimama na kuzipambania ndoto zetu bila kujali familia zetu au koo zetu zimetufelisha vipi kikubwa believe in God start hustling until you fulfil your dreams muda ni sasa guys.

Asikudanganye mtu eti kuwa na ajira ni utajiri nop ni njia tu ikiwa una akili ila kama una ni kuongeza mawazi na kusubiri kifo .

Asanteni .
Ni kwel mkuu
 
Kwa mfumo wa maisha yetu Afrika bila kuwa kauzu hauwezi kutoboa.
Mkuu hata ukitoboa bila mipango usipo weka mikakati mizuri baada ya mdaa kidogo unarudi kule kule, c unaona watumishi wengi walio toka familia za kimasikini wa kisitaafu tu wanarudi kule kijijini waliko tokea kabla ya kua watumishi, kuondokana na umasikini lazime uweke mikakati mipya.
 
Mkuu kama mtoto anaweza kurithi kipaji cha mzazi inashindikanaje kurithi umaskini? Haishangazi mtoto wa footballer kuwa footballer, mtoto wa Rais kuwa Rais, mtoto wa mfanyabiashara kuwa mfanyabiashara nk. Hata mtoto wa maskini kuwa maskini inawezekana sana kama hatua za makusudi zisipochukuliwa kwa sababu hata mtoto wa Rais kuwa Rais huwa lazima jitihada ziwepo pia. Kipaji tu hakisaidii.
Kwa katiba yetu ya bongo mtoto wa rais kuwa raisi ni swala la muda tu
 
Yaani kuna ukoo mwengine kazi ni mitihani. Mtu anamaliza chuo vizuri tu ila kwenye kupata kazi ni dana dana. Inaanza kwa mkubwa hadi mdogo. Sijui shida huwa ni nini
Kunakuwa na matatizo ya kiroho yani, kwa ambao wazazi hawakuwa na mawazo na dunia kuwa kuna watu wa hovyo wanaweza kuharibu future ya familia ndio hivyo tena mnaweza kuporomoka kutoka A class family to F Class...

Laiti mzee angejua mapema kuwa dunia haiko jinsi anavyofikiri maybe familia isingeparanganyika tukarudi kwa ground!

Watoto ndio tuna suffer kwa kufidia uzembe ule.
 
Ishi Maisha yako wengine wametomba katika Gundu mfano Mimi Jamaa yangu mmoja ametomba wanawake wachafu mpaka leo kapewa gundu Hana future kila kitu kwako kizito

Umasikini ndugu yake ni Uzinzi so usisaidie Mtu tofauti na wazazi tu
Sasa utasaidia mzazi tu wakati unakuta hapo kwenu ndugu yako single maza kajaza wajukuu kibao hapo hana future Ofcourse mama atakua anashare kile unatoa wanatumia
 
Serikali nayo ndiyo inalea umasikini.

Serikali yapaswa kuweka msimamo kila mtu awajibike, wasiowajibika wafe.

Ikifanyika hivyo lazima watu wataacha zaa hovyo.

Kwa sasa mtu anazaa hovyo sababu ana uhakika serikali itamsomeshea bure,
 
Yani sisi wanaume bana mtu analalamika eti mwanamke kaniacha kisa sina pesa, hivi kuishi kwenye ufukara au kuishi na fukara ni kazi ndogo ee? Yani unaishi kwa kuunga unga mahitaji matatu hayapatikani kwa uhakika alafu unalialia unamng'ang'ania mwanamke mzuri? Ukishakua masikini hata namna ya kuwaza inakua ya hovyo hovyo na ukileta mchezo na roho pia inakua mbaya vibaya sana
 
Serikali nayo ndiyo inalea umasikini.

Serikali yapaswa kuweka msimamo kila mtu awajibike, wasiowajibika wafe.

Ikifanyika hivyo lazima watu wataacha zaa hovyo.

Kwa sasa mtu anazaa hovyo sababu ana uhakika serikali itamsomeshea bure,
Serikali izuie watu kuzaa si upumbavu. Imeshindwa kuendesha nchi vizuri ndio maana hadi leo watu ni masikini. Ianze kuacha ufisadi kwanza na ijikite kutengeneza mazingira wezeshi.
 
Serikali nayo ndiyo inalea umasikini.

Serikali yapaswa kuweka msimamo kila mtu awajibike, wasiowajibika wafe.

Ikifanyika hivyo lazima watu wataacha zaa hovyo.

Kwa sasa mtu anazaa hovyo sababu ana uhakika serikali itamsomeshea bure,
Ni sawa ni wajibu wa serikali ku plan na kutoa huduma muhimu kwa raia wake, kwasbb hizo huduma tunazitolea kodi tunazilipia, ila viongozi wetu ni wa binafsi wezi wala rushwa, otherwise Tazania is underpopulated hatuna soko la ndani la kutosha, wakati aridhi na rasilimali nyingi tunazo za kutosha kuzidi ifadi ya watu, imagine kigeographia Tz inaizidi Nigeria kdgo nigeria ina watu 220m Tz in 60m, Ethiopia ina 120m Egypt 80m Congo 85m. Uganda ni ndogo maratatu ya Tz ila ina watu karibia 50m Kenya 55m. Wakati hizo nchi tunazizidi resources, tatzo la Tanzania ni viongozi wake hawana maono
 
Kuna kitu kinaitwa WAHULE (sijui kama ni lugha inayoweza kueleweka kwa wote), hii kitu ikitembelea ukoo wenu bila jitihada binafsi, kila anaezaliwa ataingia kwenye mfumo wa umaskini.

Yani hata upewe Mil 100 leo asubuhi, kwa namna yoyote ile baada ya mwaka au miaka utakuwa ni kapuku tena, bila kujali una elimu au huna.

Umasikini ni swala pana sana ni la kigenetic na kiroho zaidi, ukoo wowote unataoweza kuzifungua hizo patterns basi umasikini na nuksi hupita mbali.

Sio umasikini tu, mnaweza kwenda sehemu mkiwa wawili ila kabla hata hamjafanya lolote mwenzako atachangamkiwa kuliko wewe, kama vile ni mwenyeji pale, wakati kiuhalisia wote ni wageni. Vivyo hivyo kwa fursa mbalimbali.
 
Umeongea machache lakini mazito. Ikikupendeza elezea kwa undani zaidi.
Matatizo ya kijenetic: jua kwamba kila trait au tabia za msingi walizonazo viumbe hai zinarithiwa kizazi hadi kizazi. Kuna familia zimerithi tatizo fulani labda ni uwezo mdogo wa kujifunza na kutenda. Kinasaba hiki chaweza kutiririka kwenye vizazi vingi vijavyo na kuufanya ukoo mzima kuonekana usio na watu wenye mafanikio.

Matatizo ya kimazingira: Mnaona jinsi mazingira tunayotoka yanavyoathiri uwezo wa mtu. Mtu wa mjini utamwona tu ha mtu wa shamba hali kadhalika. Wewe umezaliwa kwenye familia baba, mama, na kila mtu ni wajasiriamali, uwezekano wa wewe kufaulu kwenye mkondo huo ni mkubwa kuliko yule aliyezaliwa kwenye familia wanayokaa chini ya mnazi wakisubiri nazi zianguke.

Kimalezi: Kama familia au ukoo wenu hauna hulka nzuri na hawasomeshi watoto wao usitegemee wakatoka wasomi huko.

Kiroho: Hapa ni pagumu zaidi na mara nyingi hutokana na makosa ya kijenetic, kimazingira na kimalezi. Nguvu za giza hupenyeza kupitia madhaifu ya watu kama ulevi, uvivu, wivu, woga, ugonjwa, ujinga, n.k. na kuyafanya matatizo hayo kuwa makubwa na complicated zaidi.

Laana nazo zipo kama zilivyo baraka. Kuna kulogwa na kutumikishwa katika ulimwengu wa kiroho katika ngazi mbalimbali za usukule. Kila mtu aweza kutumikishwa kwa viwango tofauti lakini kufikia ngazi ya usukule ni kiwango kikubwa cha utumishi katika ulimwengu wa giza. Laana za ukoo zaweza kuvunjwa kwa kuacha mazoea mabaya na pia kwa kubadilisha fikra na maneno wanayokiri wanafamilia kila siku. Matambiko yanafunga watu katika maagano kwa vizazi na vizazi. Kuvunja laana za ukoo sio kazi ndogo inahitaji mabadiliko makubwa ya kiroho na imani kubwa katika nguvu iliyo kubwa kuliko ile ya mizimu ya kwenu. Nguvu hiyo ni ya Mungu Muumba na wala siyo ya viumbe vyake. Nguvu na mamlaka hayo yamejidhihirisha kati Yesu Kristo ambaye tunajua mizimu na shetani mwenyewe humwogopa. Jufungamanishe na Yesu kwa kila namna uepuke utumwa wa mizimu, majini na shetani.
 
Mkuu umasikini sio kipaji ni hari. Hari hairithishwi, ila kazi na mari zina rithishwa, ndo maana ni rahisi mtoto wa raisi kua Raisi au mtoto wamkulima kua mkulima pia. Ila hayo yote yana changiwa na Elimu na juhudi binafsi ya mtu uhusika, hata kama baba ni Raisi lakini mtoto hana elimu sio rahisi yeye kua rahisi
Kama mzazi hana uwezo akishindwa kumsomesha mtoto sasa si ndio anaanza kurithi umaskini.
 
Back
Top Bottom