Wenzetu waanza kupewa kadi za kuthibitisha wamepata chanjo ya Corona kama Jumuiya ya Kimataifa inavyoelekeza

Wenzetu waanza kupewa kadi za kuthibitisha wamepata chanjo ya Corona kama Jumuiya ya Kimataifa inavyoelekeza

Kama wote mlivyokwisha sikia kwamba kuna maeneo bila kuwa na ushahidi kwamba umechanjwa ili kujikinga na Corona hutakanyaga wala kutia pua yako, basi nchi zilizostaarabika na kuamua kufuata mwongozo wa WHO zimeanza kuwapa kadi za uthibitisho wa chanjo raia wake waliochanjwa ili wawe huru kupokelewa popote waendapo duniani.

Swali: Je, sisi Watanzania wengine ambao ni wafanyabiashara wa Kimataifa, tunaolazimika kusafiri hapa na pale duniani kwa sababu za kibiashara tufanyeje?

Mtapewa kadi zinazoonesha mmejifukiza
 

Attachments

  • IMG_2817.PNG
    IMG_2817.PNG
    129.6 KB · Views: 1
Umetoa wapi hii ?
Wewe ulitaka nitoe wapi? Natambua hii haikufurahishi kutokana na itikadi pingamizi pamoja na maslahi uliyokuwa nayo

Ungekuwa na taaluma ya uhandisi wa kemikali na mahusiano wa vijiini vya viumbe hai hasa binadamu mimgekumegea zaidi lakini itoshe kusema kilichoandikwa ndio muhtasari halisi huko maabara.
 
Kibongo bongo unaweza ukatoa hela ukaletewa icho cheti nyumbani bila kuchoma iyo chanjo Wala nn
 
Wewe ni mwanasayansi?
Hata wale wapiga kelele kuisemea chanjo wengi wao si wanasayansi...
Ni mashabiki kama ulivyo wewe...
Na hoja si lazima ipingwe kwa sayansi...
Bali kuna mazingira ya kimatukio yanaweza kufanya hoja kupingwa... Na ikaleta maana
Tatizo lenu kubwa nyie supporters wa hiyo chanjo mpo kupinga kwa kelele nyingi
 
COVID 19 vaccination
1. Does neither increse nor enhance human immunity against the infection
2. Does not prevent the spread of the virus
3. Does not prevent from getting sick
4. Does not eliminate the need to wear mask, washing hands, social distancing
5. Does not guarantee health safety

The vaccination is useless; it is just a laboratory platform to practice the research on how the viral works and possibility to be battled.

Sure
 
Kama wote mlivyokwisha sikia kwamba kuna maeneo bila kuwa na ushahidi kwamba umechanjwa ili kujikinga na Corona hutakanyaga wala kutia pua yako, basi nchi zilizostaarabika na kuamua kufuata mwongozo wa WHO zimeanza kuwapa kadi za uthibitisho wa chanjo raia wake waliochanjwa ili wawe huru kupokelewa popote waendapo duniani.

Swali: Je, sisi Watanzania wengine ambao ni wafanyabiashara wa Kimataifa, tunaolazimika kusafiri hapa na pale duniani kwa sababu za kibiashara tufanyeje?

Chanja tu ila ukienda china utapinwa kwa kipimo cha haja kubwa kwanza
 
Wewe ulitaka nitoe wapi? Natambua hii haikufurahishi kutokana na itikadi pingamizi pamoja na maslahi uliyokuwa nayo

Ungekuwa na taaluma ya uhandisi wa kemikali na mahusiano wa vijiini vya viumbe hai hasa binadamu mimgekumegea zaidi lakini itoshe kusema kilichoandikwa ndio muhtasari halisi huko maabara.
nyie wabongo mlioshindwa kutengeneza hata pamba ya kuoshea vidonda mnapata wapi ujasiri wa kuipinga chanjo ya corona Masikini wakubwa nyie !
 
Dikteta sijui kwanini anakataa na wakati ni hiari ya mtu
Sasa kama ni hiari ya mtu .......vilevile ni hiari ya viongozi wanaongoza nchi yetu ...kuikubali hiyo chanjo au laa ......TUSIPANGIANE NAMNA YA KUISHI KWENYE HII FREE ZONE WORLD WIDE
 
Kama wote mlivyokwisha sikia kwamba kuna maeneo bila kuwa na ushahidi kwamba umechanjwa ili kujikinga na Corona hutakanyaga wala kutia pua yako, basi nchi zilizostaarabika na kuamua kufuata mwongozo wa WHO zimeanza kuwapa kadi za uthibitisho wa chanjo raia wake waliochanjwa ili wawe huru kupokelewa popote waendapo duniani.

Swali: Je, sisi Watanzania wengine ambao ni wafanyabiashara wa Kimataifa, tunaolazimika kusafiri hapa na pale duniani kwa sababu za kibiashara tufanyeje?

Hamia huko dada. Kila siku kulalamika tuu! Nafikiri kinga zako za mwili zitakuwa zimeshaka sana kwa sababu ya stress
 
Dikteta sijui kwanini anakataa na wakati ni hiari ya mtu
Sasa kama ni hiari ya mtu .......vilevile ni hiari ya viongozi wanaongoza nchi yetu ...kuikubali hiyo chanjo au laa ......TUSIPANGIANE NAMNA YA KUISHI KWENYE HII FREE ZONE WORLD WIDE
 
Soon Watanzania hatutaruhusiwa kuingia nchi yoyote ile duniani bila ya hii kitu.
Kama wote mlivyokwisha sikia kwamba kuna maeneo bila kuwa na ushahidi kwamba umechanjwa ili kujikinga na Corona hutakanyaga wala kutia pua yako, basi nchi zilizostaarabika na kuamua kufuata mwongozo wa WHO zimeanza kuwapa kadi za uthibitisho wa chanjo raia wake waliochanjwa ili wawe huru kupokelewa popote waendapo duniani.

Swali: Je, sisi Watanzania wengine ambao ni wafanyabiashara wa Kimataifa, tunaolazimika kusafiri hapa na pale duniani kwa sababu za kibiashara tufanyeje?

 
Jiwe atawatengenezea Mecca 🕋 yao kule chato kitovuni ile ya Saudi Arabia wataisikia kwenye bomba.
Sasa itakuwaje , nashangaa kuwaona viongozi wakuuu wa dini ya kiislam wanapinga chanjo, na huko macca mwaka huu bila kuwa umepata chanjo ni marufuku kutia mguu!!kwenda kuhij!!akili hizi bwana yaani dunia nzima waende clockwise, wewe tena kiinchi maskini, ujifanye eti kwenda anticlockwise?? Mala eti ni vita ya kiuchumi!!!kwa kitu gani ulichonacho?yaani USA, awe na vita ya kiuchumi na CHINA, anaweza kuwa na vita na wewe!!
 
Ktk hili ni wazi hii vaccine card itakuwa ndio funguo ya kuingia hata ulaya na amerika. Sasa mbaya zaidi ni kwa upande wa chima wale ndio washenzi wa karne na kipimo chao cha speaker ati ni lazima upimwe corona kwa kutumia kipimo cha speaker eiiiiiiiiii bora niende chatooooooh
 
Back
Top Bottom