Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!


kijana hiyo inaitwa 50sm
naanda wimbo wa RIP
 
bebiii....nakuona unachungulia....nihakikishie kama tutanatana siku hiyo.....
 
Safi sana,..ngoja nipange vizuri mikakati ya kubrash viatu..ili siku ikifika niwe free.
 
Last edited by a moderator:
Hawa warembo wana fanya moyo uende mbio! Hivi haiwezekani mungi na Erick B52 wakazuiwa kwenda kwenye hiyo safari?

inawezekana kabisa....unataka iwe hivyo nikufanyie uwezekano.......?
 
Ayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!

Tokea alienda pale Survey, panaitwaje tena??..sijui brajeck(ile shughuli iliyododa)...!!, hajarudi tena!!
Sijui mambo ya babu Asprin!!
Khaaaaaaa!!

huyo babu Asprin mbona hawezi kuleta madhara kwa mkwewe! Usimpakazie bana!

Na Hili Ndilo Neno La Mungu.

Enenda kwa amani kijana wangu, usitende tena dhambi.
 
Hawa warembo wana fanya moyo uende mbio! Hivi haiwezekani mungi na Erick B52 wakazuiwa kwenda kwenye hiyo safari?

Mkuu mimi na Erickb52 ndo washika pembe.................. andika umeumia, usisahau kuja na dawa ya maumivu mazee
 
Last edited by a moderator:
Duuuh bora muendelee kushika mapembe mpaka ntakapo fika lasivyo mtanasa!

Mkuu mimi na Erickb52 ndo washika pembe.................. andika umeumia, usisahau kuja na dawa ya maumivu mazee
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…