Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,199
Mkuu mimi na Erickb52 ndo washika pembe.................. andika umeumia, usisahau kuja na dawa ya maumivu mazee
Duuuh bora muendelee kushika mapembe mpaka ntakapo fika lasivyo mtanasa!
Kwa hiyo unasema Ruttashobolwa atakamua maziwa kiulaini hebu rekebisha usemi wako Mungi.
Kwa hiyo unasema Ruttashobolwa atakamua maziwa kiulaini hebu rekebisha usemi wako Mungi.
Hahaaaaaaaaaaaaaa wacha ikae hivyo hivyo...................
Mkuu ulinzi umeimarishwa, ukizingatia warembo wetu ni wakali................... yaani utaona kama kituo cha polisi mazee
Hahaha ha ha majuto ni kilembwe usijesema sijakustua.
Hahaha ha ha majuto ni kilembwe usijesema sijakustua.
Nimeshakuambia ole wako ubukiwe sawa?
Wee acha mchezo kule Tanga hakuitajiki polisi wewe na utashangaa! Ni tego tu na kuhakikishia ukiendelea na huo mchezo wa kuwalinda hao warembo utabaki barabara ya 7
Sisi hatuna mashaka na warembo wetu, mpango uliopo ni kuhakikisha tunapanda mbegu huko, angalau mjulikane kuwa na nyie wamo.
ili kufanikisha hilo, mimi, Erickb52, Arushaone, Mr Rocky, Filipo (japo anataka kutuzingua na marejesho), pamoja na mlokole Mzee wa Rula tunahakikisha tunapanga strategies ya kuwa karibu. Kwa kuanza na mpango mkakati sasa, PM zimeshaanza kuwasiliana na Madame B, charminglady, FirstLady, Zinduna, snowhite, cacico, Kipipi, Natalia, Erotica na gfsonwin............. kwa PM za awali mambo yanaenda vizuri, Kipipi anatamani iwe leo, kwahiyo Mr Rocky ambaye ndo tunamkabidhi Kipipi tumemwelekeza chakufanya kuhakikisha hatemekiwi.
hivi mbona sioni bookings......au watu wanaogopa.....?
Usiogope hiyo mikwala njoo kesho mount meru hotel tuongee kidogo huyo mungi ntaakikisha tareh 27/12 ntamuweka selo ili asi safiri .
Lily flower, black women
na mwingine ntaongeza soon nataka ni hakikishe vijana wa unga limited wanajuta kunifahamu!