Wewe dada na kaka Mungu awabariki sana

Nataka kuboresha biashara yangu ya viazi na magimbi boss
 
View attachment 3098878

Nikajua chachandu hii, sawa nitakupm uje kigamboni
Hizo hata sina haja nazo, nawaachia kina Mwajuma ndala ndefu wangu wanunue wenyewe tu, sihitaji kujua kuzitengeneza.

Usisahau kuniandalia na nauli, ila mimi nakaa mbali buku 5 haitoshi, naomba uniongezee kidogo.

Ikikupendeza unipe na mtaji kabisa😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…