Wewe dada na kaka Mungu awabariki sana

Wewe dada na kaka Mungu awabariki sana

Haya bana ASante sana dada kwa msaada ulonip

Mkuu na Mimi natamani nimtag ila alisisitiza nisimtaje na Mimi sitaki kumkosea kwa hili
Utakuwa hujamkosea tunataka tumwagie sifa zake.
Shida watu wataanza kumsumbua mara biashara yangu ya mchele,yeye alikupa mtu ambaye alikuwa anadili na biashara yake,hongera dada nimekupenda bure
 
Utakuwa hujamkosea tunataka tumwagie sifa zake.
Shida watu wataanza kumsumbua mara biashara yangu ya mchele,yeye alikupa mtu ambaye alikuwa anadili na biashara yake,hongera dada nimekupenda bure
Hayuko tayari nimtaje mkuu!
Halafu Mimi sio dada mkuu😄 m MWANAUME
 
Back
Top Bottom