Wewe kama mwanaume Unaweza kuvumilia?

Wewe kama mwanaume Unaweza kuvumilia?

Hellow

Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina mpenda sana kibaya zaidi anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa

Nimewekeza pesa nyingi kuna muda nampa mpaka akiba yangu ila haoni kama nampenda nimechoka nifanyeje

Nilimfwata baada ya kusikia washikaji kuwa wanamsema ni mgumu sana so na mimi nikazama kimya kimya ila sasa moyo unanipelekesha na mpenda sana ila jibu hanipi

Nifanyeje ushauri wenu mwenzenu nimekamatika kwa huyu bidada kitoto cha 2000
No reform, poor election
 
Hellow

Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina mpenda sana kibaya zaidi anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa

Nimewekeza pesa nyingi kuna muda nampa mpaka akiba yangu ila haoni kama nampenda nimechoka nifanyeje

Nilimfwata baada ya kusikia washikaji kuwa wanamsema ni mgumu sana so na mimi nikazama kimya kimya ila sasa moyo unanipelekesha na mpenda sana ila jibu hanipi

Nifanyeje ushauri wenu mwenzenu nimekamatika kwa huyu bidada kitoto cha 2000
Ni mkoa gani kwanza..? Nina maana kwanini nakuuliza hivi
 
ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa
Mwaka unatongoza, unatongozatongozaje!!!!!! Mwaka mzima????? Isije ikawa unamwambia nakupenda, nakuoa, daaah, mwaka unatongoza tu????
na nina mpenda sana
Hapo sasa shida inaanza. Kuliko hata unavyojipenda. Anaanzaje kukupenda wakati mwenyewe hujipendi unampenda yeye zaidi.
anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa
Sasa utaachaje kusolve shida za unaempenda sana. Kila kitu kwa kiasi....
Nimewekeza pesa nyingi kuna muda nampa mpaka akiba yangu
Hadi akiba? Hicho kichwa sio kizima ndio maana hakutaki. Jipende na acha kuwa rahisi rahisi. Unatoaje akiba yako, hapo unatuma ujumbe kuwa wewe hufai. Na hutokaa umpate, anakula pesa zako halafu anaenda kuliwa na wasiotoa pesa. Acha kuwa zoba unadhani atakupenda kwa kuwa unampa pesa na wewe unaamini pesa yako ndio inapendwa zaidi kuliko wewe, acha aitafune.
nimechoka nifanyeje
Kwani umelazimishwa au umeshikiliwa? Kinachokusumbua ni uzoba wako bhana. Haujui na hauwezi kuamua maisha yako. ANZA SASA HIVI UNAPOSOMA HAPA.
na mpenda sana ila jibu hanipi
Vipi akikupa jibu la HAPANA, utalipokea? Sasa unalialia nini maana umeshupalia hakupi jibu kama vile una uhakika wa jibu la NDIO. Acha uzombi, kwani alizaliwa ili awe mke au mpenzi wako?
Nifanyeje ushauri wenu mwenzenu nimekamatika kwa huyu bidada kitoto cha 2000
Umejikamatisha mwenyewe. Hebu achana nae leo uone kama ataendelea kukuganda. Na utagundua mjinga alikuwa ni wewe
 
Na akianza kukusumbua mpotezee
Kaka nimeweza kuacha kutomtafuta sasaiv anachofanya ni kulike status kila nitakayo weka anakuwa wa kwanza ana like na kutuma emoj za vicheko na makopakopa nachomokaje hapo 😂
 
Back
Top Bottom