Wewe kama mwanaume Unaweza kuvumilia?

Wewe kama mwanaume Unaweza kuvumilia?

Kaka nimeweza kuacha kutomtafuta sasaiv anachofanya ni kulike status kila nitakayo weka anakuwa wa kwanza ana like na kutuma emoj za vicheko na makopakopa nachomokaje hapo 😂
😂😂Msahau kabisa futa na namba.
 
Jifunze kuwa mgumu mdogo wangu Mwachiluwi

ila kama ndio huna uzoefu na hizi mambo utahangaika sana

👇👇👇👇👇

Ona huyu anavyonihangaikia kukopa, nilikua namwelewa sana kipindi cha nyuma
Screenshot_20250313-015618.jpg
 
Back
Top Bottom