Wewe kama mwanaume Unaweza kuvumilia?

Wewe kama mwanaume Unaweza kuvumilia?

Unaomba ushauri kwa wanaume wenzako ambao nao wanapitia changamoto kama yako.๐Ÿ˜‚
Hapana kauliza the right people, reverse psychology inafanyaga kazi vizuri, the more you ignore them the more you get them ukiwashobokea sana unakuwa shoot wao, hawakupi so it's better aachane nae asimpe hela atakuja mwenyewe akibanwa na kipindi anaweka distance atafute mwanamke mwingine wapo wengi na hawana watu....Usimbembeleze mwanamke unamtengenezea mazingira ya kukuona wewe fala, sijui kwanini wanawake wanatabia ya kuchanganya upendo na ufala, Yan mtu unampenda anakuona we zoba ๐Ÿ˜‚
 
Hapana kauliza the right people, reverse psychology inafanyaga kazi vizuri, the more you ignore them the more you get them ukiwashobokea sana unakuwa shoot wao, hawakupi so it's better aachane nae asimpe hela atakuja mwenyewe akibanwa na kipindi anaweka distance atafute mwanamke mwingine wapo wengi na hawana watu....Usimbembeleze mwanamke unamtengenezea mazingira ya kukuona wewe fala, sijui kwanini wanawake wanatabia ya kuchanganya upendo na ufala, Yan mtu unampenda anakuona we zoba ๐Ÿ˜‚
Umejikaza kutoa ushauri wakati wewe mwenyewe kuna pisi inakuletea mapozi na huwa unaililia
 
Hellow

Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina mpenda sana kibaya zaidi anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa

Nimewekeza pesa nyingi kuna muda nampa mpaka akiba yangu ila haoni kama nampenda nimechoka nifanyeje

Nilimfwata baada ya kusikia washikaji kuwa wanamsema ni mgumu sana so na mimi nikazama kimya kimya ila sasa moyo unanipelekesha na mpenda sana ila jibu hanipi

Nifanyeje ushauri wenu mwenzenu nimekamatika kwa huyu bidada kitoto cha 2000


Sbb huna hela, tafuta hela uone dunia, ukipata hela ww ndio utakuwa unawakataa
 
Hellow

Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina mpenda sana kibaya zaidi anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa

Nimewekeza pesa nyingi kuna muda nampa mpaka akiba yangu ila haoni kama nampenda nimechoka nifanyeje

Nilimfwata baada ya kusikia washikaji kuwa wanamsema ni mgumu sana so na mimi nikazama kimya kimya ila sasa moyo unanipelekesha na mpenda sana ila jibu hanipi

Nifanyeje ushauri wenu mwenzenu nimekamatika kwa huyu bidada kitoto cha 2000
Apo kwenye kitoto cha 2000 ebu kwanza acha nicheke ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚,acha kumanguka unaimba taarabu ujue toka apo unaibiwa acha kuronga ushuzi mkuu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Apo kwenye kitoto cha 2000 ebu kwanza acha nicheke ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚,acha kumanguka unaimba taarabu ujue toka apo unaibiwa acha kuronga ushuzi mkuu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ sawa sawa
 
Umemwambia Kama wewe unajua sana kupika?
Kanuni iko hivi,kadri unavyo msogelea sana mwanamke nae anazidi kukimbia,Yaan kukaa mbali na wewe.
Kupunguza kumfuatilia sana,akikuomba sasa mwambie sina,mpe mikausho atageuka nyuma.

ephen_ mpe madini huyu kijana.
Sawa sawa
 
Back
Top Bottom