Wewe kama mwanaume Unaweza kuvumilia?

Wewe kama mwanaume Unaweza kuvumilia?

Hellow

Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina mpenda sana kibaya zaidi anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa

Nimewekeza pesa nyingi kuna muda nampa mpaka akiba yangu ila haoni kama nampenda nimechoka nifanyeje

Nilimfwata baada ya kusikia washikaji kuwa wanamsema ni mgumu sana so na mimi nikazama kimya kimya ila sasa moyo unanipelekesha na mpenda sana ila jibu hanipi

Nifanyeje ushauri wenu mwenzenu nimekamatika kwa huyu bidada kitoto cha 2000
Simp
 
Na akianza kukusumbua mpotezee
Hapa nimemwambia kitu kimoja tu ukiona mimi nimekutafuta nitukane ase mdio kaanza kutuma sms wakat uho nilimtumia sms kabla ya hii thread kuandika hapa ndio sasaiv ana anza kujibu sms ase nimepatikana
 
Ningeshangaa ujue kupika halafu uwajue na wanawake..!! Thubutuuu 😹😹🤣
 
Back
Top Bottom