Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #141
Kumbe na wewe yashawai kukuta?Achana naye.
Wapuuzi wa hivyo wapo wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na wewe yashawai kukuta?Achana naye.
Wapuuzi wa hivyo wapo wengi
Nishafuta na nambaHapo umecheza.
Na akianza kukusumbua mpotezeeNishafuta na namba
Kumbe huwa unakula nae 😝basi kumekuchaNa mpikia nan na ninae mpenda kagoma
SimpHellow
Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina mpenda sana kibaya zaidi anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa
Nimewekeza pesa nyingi kuna muda nampa mpaka akiba yangu ila haoni kama nampenda nimechoka nifanyeje
Nilimfwata baada ya kusikia washikaji kuwa wanamsema ni mgumu sana so na mimi nikazama kimya kimya ila sasa moyo unanipelekesha na mpenda sana ila jibu hanipi
Nifanyeje ushauri wenu mwenzenu nimekamatika kwa huyu bidada kitoto cha 2000
Hapa nimemwambia kitu kimoja tu ukiona mimi nimekutafuta nitukane ase mdio kaanza kutuma sms wakat uho nilimtumia sms kabla ya hii thread kuandika hapa ndio sasaiv ana anza kujibu sms ase nimepatikanaNa akianza kukusumbua mpotezee
Friji jeupee leo 😂Tutegemee mapishi yenye moshi, chumvi mingi, havijaivaa na dikodiko hakunaa....mmemsikia katoa mpaka akiba ya food huko 🤣🤣🤣😃
Mwachiluwi mshangazi dot com
Akipata naafasiKumbe huwa unakula nae 😝basi kumekucha
HowSimp
Hata kwa sawa afande siwezi kukubali huyu sio weweKweli ni mimi uyo utaki 😂
Mbuzi kafia kwa muuza supueeee…………….Hata kwa sawa afande siwezi kukubali huyu sio wewe
Au ndo mganga haji gangiii? 🤣Mbuzi kafia kwa muuza supueeee…………….
Ahahah kula nyama nyamaza 😂Au ndo mganga haji gangiii? 🤣
Ntakuwa wa mwisho kukuamini
Nimepatikana kabisaNingeshangaa ujue kupika halafu uwajue na wanawake..!! Thubutuuu 😹😹🤣
Nakuheshimu ibaki ivyo boss vinginevyo
Sawa potiiiii 😂Ahahah kula nyama nyamaza 😂
Ninyi ndio vijana masimp mnaoanzishiwa nyuzi dailyNa sijapewa
Tafuta wakubwa humu JF watakwambia nn maana yake Kisha unaweza kuja kunishukuru