Edo kissy JF-Expert Member Joined Mar 21, 2022 Posts 2,802 Reaction score 7,551 Mar 13, 2025 #221 Mwachiluwi said: Kaka nimeweza kuacha kutomtafuta sasaiv anachofanya ni kulike status kila nitakayo weka anakuwa wa kwanza ana like na kutuma emoj za vicheko na makopakopa nachomokaje hapo π Click to expand... ππMsahau kabisa futa na namba.
Mwachiluwi said: Kaka nimeweza kuacha kutomtafuta sasaiv anachofanya ni kulike status kila nitakayo weka anakuwa wa kwanza ana like na kutuma emoj za vicheko na makopakopa nachomokaje hapo π Click to expand... ππMsahau kabisa futa na namba.
Down To Earth JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 21,940 Reaction score 16,643 Mar 13, 2025 #222 Jifunze kuwa mgumu mdogo wangu Mwachiluwi ila kama ndio huna uzoefu na hizi mambo utahangaika sana πππππ Ona huyu anavyonihangaikia kukopa, nilikua namwelewa sana kipindi cha nyuma
Jifunze kuwa mgumu mdogo wangu Mwachiluwi ila kama ndio huna uzoefu na hizi mambo utahangaika sana πππππ Ona huyu anavyonihangaikia kukopa, nilikua namwelewa sana kipindi cha nyuma
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 25,258 Reaction score 48,589 Mar 13, 2025 Thread starter #223 Edo kissy said: ππMsahau kabisa futa na namba. Click to expand... Sawa sawa
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 25,258 Reaction score 48,589 Mar 13, 2025 Thread starter #224 Down To Earth said: Jifunze kuwa mgumu mdogo wangu Mwachiluwi ila kama ndio huna uzoefu na hizi mambo utahangaika sana πππππ Ona huyu anavyonihangaikia kukopa, nilikua namwelewa sana kipindi cha nyuma View attachment 3268496 Click to expand... Kiboko wewe
Down To Earth said: Jifunze kuwa mgumu mdogo wangu Mwachiluwi ila kama ndio huna uzoefu na hizi mambo utahangaika sana πππππ Ona huyu anavyonihangaikia kukopa, nilikua namwelewa sana kipindi cha nyuma View attachment 3268496 Click to expand... Kiboko wewe