ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Wewe ndo walewaleHuna adabu, hizi changamoto wanapitia wavulana na wanaume wapumbavu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo walewaleHuna adabu, hizi changamoto wanapitia wavulana na wanaume wapumbavu!
Natakiwa niwejeThe way unaongea unaonekana upo soft sana na yeye amejua hilo ndio maana anakuchezea akili.
Huyo kaa nae chini tangaza nia ,akikuchomoa na wewe mchomoe.
SawaACHA KUTUMIKA VIBAYA MKUU
Sawa sawaNingekuwa kijana ningekushauri uendelee nae huku ukila taratibu pembeni, akikaa sawa muendelee.
Ila sasa na uzee huu nitakushauri tu uachane nae, tafuta mwingine mtakayeelewana na kupanga maisha.
Ahaha acha basiAu atakua hana hiyo kitu nini 😁😁
Kua makini usikute pamesakafiwa
kwhy nifanyeje mkuuushaingia kwenye mfumo wake shekeli zitaendelea kuliwa na kipochi hutokaa ukione...na zaidi kinachokusumbua ni ile down payment uliyoifanya na maintenance allowance unazoendelea kuzitoa kila ukizifikiria moyo unakataa unahisi labda nikifanya nitapewa utelezi.
Mpaka liniKwa leo naomba nisiongee chochote
Acha kabisa kuna siku nilimkuta anaongea na mwanaume kajiacha ukanishika wivu sanaHapo unakuta anawakizia nyie kutoa mzigo ila kuna muhuni anakula kilaini..
Ahahah sijakueleaa hapoUsipambanie demu ukiwa huna demu nyege zina tabia ya kumpelekea mtu kufanya maamuzi ya hovyo
Mada kama hii angeanzisha OgaBoy Wana jf wangesema kalewa au anawaza mbaliHellow
Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina mpenda sana kibaya zaidi anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa
Nimewekeza pesa nyingi kuna muda nampa mpaka akiba yangu ila haoni kama nampenda nimechoka nifanyeje
Nilimfwata baada ya kusikia washikaji kuwa wanamsema ni mgumu sana so na mimi nikazama kimya kimya ila sasa moyo unanipelekesha na mpenda sana ila jibu hanipi
Nifanyeje ushauri wenu mwenzenu nimekamatika kwa huyu bidada kitoto cha 2000
🙌🙌endelea kutoa pesa tu mkuu, maana ni kama huna KAZI nazo au akili ina shida mahali,... lakini utakapoona kuna haja ya kurudishiwa fedha zako au hata fidia, usisite kuniungisha MAPANGA yaliyoNOLEWA kabisa kwa bei chee sana,.... thanks in advance 🙏🙏
Dah kmmkAu atakua hana hiyo kitu nini 😁😁
Kua makini usikute pamesakafiwa
Nishataman kufanya ivyo ila nikawaza siku dawa zikiisha je?Tuma majin 3 yake na yako