Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Wote nawakubali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli mkuuMarioo hana idea, anaimba upuuzi sana siku hizi.
Mboso sio wa kumfananisha na Marioo mkuu, Mbosso hatoagi boko.
Hivi Mario anaimbaga nini? Kama kashirikishwa huwa nakimbiza wimbo mbele.
Kama hii album aliyotoa ndio kabisaa haieleweki ila inapigwa promo sanaHivi Mario anaimbaga nini? Kama kashirikishwa huwa nakimbiza wimbo mbele.
Naona Bwana Mboso unaandika uzi na kucomment mwenyewe ukijipa promo😀😀😀Mfikishieni taarifa Konde boy atuheshimishe jamani
Nukuu za nani hizo mkuu😂😂😂MUZIKI!
naupenda mpaka KUFA.
wakati naanza hii harakati nilikutana na VIKWAZO vingi sana haswa kwenye $AUTITI nikifananishawa na Akon na hapa nyumbani Bushoke.
Katika ile album ya toto bad nafikiri ni ngoma moja tu ndo ina viewers 600kKama hii album aliyotoa ndio kabisaa haieleweki ila inapigwa promo sana
Hapo kwa Jux umemuonea, Jux Ni moja Kati ya wasanii wenye sauti nzuri hakuna msanii anayeimba Rnb akawa Ana sauti mbayaDiamond anajua saana.
Harmonize anajua vibaya saana.
Alikiba anajua saana.
Jux anaweza kuandika ila sauti hajajaliwa.
Rayvanny anajua saana hasa kuandika tatizo autotune imezidi.
mh! yani jux hajajaliwa sauti...🤣Diamond anajua saana.
Harmonize anajua vibaya saana.
Alikiba anajua saana.
Jux anaweza kuandika ila sauti hajajaliwa.
Rayvanny anajua saana hasa kuandika tatizo autotune imezidi.
Kumbe siko peke yangu ambae simuelewi marioo!Hivi Mario anaimbaga nini? Kama kashirikishwa huwa nakimbiza wimbo mbele.
mh! yani jux hajajaliwa sauti...🤣
ni vile tu hujui nakuona unavyotiririka ati mario nae hajui!.. we unafata wasanii waliotoboa sana hao unaowasema hawajui hata mimi nilikuwa nasema vivyo hivyo!..
nilipokuja kukaa kuwasikiliza vyema ndo nikaelewa ni wakina nani!.
mario kaandikia wasanii wenzake kabla hata hajatoka mi nafikiri labda useme hujaelewa style ya uimbaji wake, pia jux ni vile watz sio wapenzi sana wa miondoko ya R&B sasa yule ni moja wa fundi wa hizi ngoma!.
wabongo wengi mnapenda manyimbo yaliyochangamka tu ili mkate viuno na hizo singeli ndo mmefika mnacheza kama wehu mpk mnavua nguo!..😂
ukisema jux hana sauti sijui burna boy utasemaje!.
babu mziki wewe bado kaa, keti kimya kabis
Labda upo sahihi....mh! yani jux hajajaliwa sauti...🤣
ni vile tu hujui nakuona unavyotiririka ati mario nae hajui!.. we unafata wasanii waliotoboa sana hao unaowasema hawajui hata mimi nilikuwa nasema vivyo hivyo!..
nilipokuja kukaa kuwasikiliza vyema ndo nikaelewa ni wakina nani!.
mario kaandikia wasanii wenzake kabla hata hajatoka mi nafikiri labda useme hujaelewa style ya uimbaji wake, pia jux ni vile watz sio wapenzi sana wa miondoko ya R&B sasa yule ni moja wa fundi wa hizi ngoma!.
wabongo wengi mnapenda manyimbo yaliyochangamka tu ili mkate viuno na hizo singeli ndo mmefika mnacheza kama wehu mpk mnavua nguo!..😂
ukisema jux hana sauti sijui burna boy utasemaje!.
babu mziki wewe bado kaa, keti kimya kabisa!
Mimi huwa simsikilizi kabisa....hii album yake mpya nyimbo zake na Bien, Alikiba, Harmonise napeleka mbele.Kumbe siko peke yangu ambae simuelewi marioo!
Labda ila kwangu anatumia nguvu nyingi kuimba.Hapo kwa Jux umemuonea, Jux Ni moja Kati ya wasanii wenye sauti nzuri hakuna msanii anayeimba Rnb akawa Ana sauti mbaya
Akikosa beat zuri amekwisha...Kuna wasanii wakiimba wanabadilisha beat mbaya kwenda nzuri.Nikajua peke yangu ndo simuelewi. Yule beats tu ndo zinambeba kama chino tu. Atulie kwenye utunzi tu.
haha! sasa konde hakuna nyimbo nilikuwa sizielewi kama nyimbo zake za awali, kule alikuwa hajaiva bado sasahivi fundi..Labda upo sahihi....
Sisikilizi wasanii waliotoboa tu. Nasikiliza wimbo wowote mzuri.
Ila Mario hapana. Jux anaandika saana moja ya favorite songs zangu ni alofanya na John na Nyanshiski. Na zote kafunikwa.
Anatumia nguvu saana kuimba....nitakupatia mfano mwingine mdogo stamina anaandika nyimbo nzuri saana....ila huwa anatumia nguvu nyingi kutoa sauti kwenye kufoka kwake . Kuna wasanii wengi tu wanatatizo hili. Hata mbele pia misanii kibao unajua wanajua kuandika lakini sauti inawanyima kuwa almost perfect. Wasikilize watu kama Harmonize au Kanye West wanaimba smooth and soothing.....
Kuna wasanii wanajuhudi na kazi zao tu na wamefanikiwa kuliteka soko kwasababu ya juhudi.