Wewe Mbosso haya mambo yako ndiyo yalisababisha bwana Marioo alifuta verse zako kwenye nyimbo zake mbili

Wewe Mbosso haya mambo yako ndiyo yalisababisha bwana Marioo alifuta verse zako kwenye nyimbo zake mbili

haha! sasa konde hakuna nyimbo nilikuwa sizielewi kama nyimbo zake za awali, kule alikuwa hajaiva bado sasahivi fundi..
hao unaowasema mario na jux sema hujaelewa style ya uimbaji wao usiseme hawajui..!
wapo watu hawajui wewe labda kama hujawafuatilia!.
Konde kabadilika saana....huwa anazi
haha! sasa konde hakuna nyimbo nilikuwa sizielewi kama nyimbo zake za awali, kule alikuwa hajaiva bado sasahivi fundi..
hao unaowasema mario na jux sema hujaelewa style ya uimbaji wao usiseme hawajui..!
wapo watu hawajui wewe labda kama hujawafuatilia!.
Muziki ni kama Gari the more you drive the better you become. Hata Mario anaimprove siku hadi siku.

Sisemi hawajui muziki kabisa wanajitahidi kwa uwezo wao. Kuna wasanii wape beat yoyote kitachopikwa studio kinasikilizika sasa hawa jamaa zako wafikirie tu uwape beat mbaya mbaya....nakuhakikishia husikilizi hiyo ngoma.
 
kweli mkuu
Marioo aliyeimba "Dar Kugumu", "Aya" na "Inatosha" aliingia chimbo na kuanza kuachia amapiano, aligeukia muziki wa vibes na si kufanya watu wapende uandishi wake.

Ukisikiliza "Beer Tamu", "Mama Amina", "Sumu", "Adiwele" , "Lonely" na nyimbo zake nyingi za amapiano utaelewa kwamba alichagua [Marioo] njia mpya. Kiutunzi bado yupo vizuri.

Mbosso alianza kubadilika kwenye wimbo wa "Moyo", kisha "Shetani" hatukukaa sawa akashusha "Sitaki" na "Sele", tofauti yake na Marioo ni moja tu. Marioo tangu alipoangukia upande wa amapiano ni kama hataki kuandika tena kama zamani. Ila upande wa Mbosso yeye hata aliporejea kuimba mziki wa Bongofleva/Afrobeats aliendelea kuandika kwa utaalamu wake ule ule.

Usimdogoshe Marioo!
 
Konde kabadilika saana....huwa anazi

Muziki ni kama Gari the more you drive the better you become. Hata Mario anaimprove siku hadi siku.

Sisemi hawajui muziki kabisa wanajitahidi kwa uwezo wao. Kuna wasanii wape beat yoyote kitachopikwa studio kinasikilizika sasa hawa jamaa zako wafikirie tu uwape beat mbaya mbaya....nakuhakikishia husikilizi hiyo ngoma.
Mkuu hata wewe upewe biti mbaya kuna uwezekano ukayakanyaga tu!, msanii yoyote lazima achague biti anayoiweza ndio maana wana style za kuimba huyu rap, mapiano, R&B n.k
msanii hapimwi kwa beat anapimwa kwenye kuimba live kufuata sheria zote zakimuziki.. mi kuna baadhi ya nyimbo zimepikwa studio sijazielewa lkn msanii huyohuyo akiipiga live unakuta naikubali hiyo ya live.. nafikiri kila mtu na sikio lake kwenye muziki lkn nikuibie siri ndogo pia aina ya muziki mtu anaopenda kusikiliza na wanamuziki fulani fulani anaopenda kuwasikiliza, huelezea kwa kiasi fulani uwezo wa akili wa mtu huyo!.
na hichi kitu ni automatic huwezi ku fake..😅
 
Mkuu hata wewe upewe biti mbaya kuna uwezekano ukayakanyaga tu!, msanii yoyote lazima achague biti anayoiweza ndio maana wana style za kuimba huyu rap, mapiano, R&B n.k
msanii hapimwi kwa beat anapimwa kwenye kuimba live kufuata sheria zote zakimuziki.. mi kuna baadhi ya nyimbo zimepikwa studio sijazielewa lkn msanii huyohuyo akiipiga live unakuta naikubali hiyo ya live.. nafikiri kila mtu na sikio lake kwenye muziki lkn nikuibie siri ndogo pia aina ya muziki mtu anaopenda kusikiliza na wanamuziki fulani fulani anaopenda kuwasikiliza, huelezea kwa kiasi fulani uwezo wa akili wa mtu huyo!.
na hichi kitu ni automatic huwezi ku fake..😅
Anatamani apime uwezo wa Adele, Usher, na Chris Brown kwenye midondoko ya singeli.
 
Anatamani apime uwezo wa Adele, Usher, Chris Brown kwenye midondoko ya singeli.
wataangukia pua tu!.. wasanii wana style zao na ndo wanapobase sasahivi wamebakiza mziki wakuimba soft sio kama wa akina Celine Dion watu wanapanda mpk key za juu huko!.. hizo enzi zilikuwa na mambo yake najua huwa zinarudi uzuri mziki unafundishika na sauti inafunguliwa vizuri tu.
 
Wewe unajua Muzik huyo dogo hajua kuimba technology inamboreshea saut
Upo sahihi kuandika unachofikiri, Marioo ni kijana aliyetambua kwamba kinyume na jamii itavyomchukulia ana nafasi yake katika mto huu wa muziki.

Kuimba ni sanaa, sanaa inafundishika. Ukitoa teknolojia uliyoitaja kumsaidia Marioo muziki una tabia ya kuwatenga wasio na vipaji, kwa miaka hii kadhaa ambayo Marioo amekaa kwenye hii tasnia mpatie heshima yake.
 
mh! yani jux hajajaliwa sauti...🤣
ni vile tu hujui nakuona unavyotiririka ati mario nae hajui!.. we unafata wasanii waliotoboa sana hao unaowasema hawajui hata mimi nilikuwa nasema vivyo hivyo!..
nilipokuja kukaa kuwasikiliza vyema ndo nikaelewa ni wakina nani!.

mario kaandikia wasanii wenzake kabla hata hajatoka mi nafikiri labda useme hujaelewa style ya uimbaji wake, pia jux ni vile watz sio wapenzi sana wa miondoko ya R&B sasa yule ni moja wa fundi wa hizi ngoma!.
wabongo wengi mnapenda manyimbo yaliyochangamka tu ili mkate viuno na hizo singeli ndo mmefika mnacheza kama wehu mpk mnavua nguo!..😂
ukisema jux hana sauti sijui burna boy utasemaje!.

babu mziki wewe bado kaa, keti kimya kabisa!
Ila tukubali Mario kajisahau ameanza kutoa maronya
 
Kiongozi umekosea. Ile ya Bien kaimba nini sasa pale. Kama unaimba na Mkenya halafu unafukiwa basi wewe ni basi tena. Mario anafaa kuimba Amapiano maana hajajaliwa sauti na kuandika. Wimbo wake ambao ni afadhali ni Mi amor.

Au may be preferences ila nina sikio zuri saana la muziki. Nikikwambia huyu mtu anajua kuandika na kuimba basi asilimia kubwa ya watu watakubaliana Nami. Mario amapiano zinampendeza saana maana Hana sauti na kuandika kwake ni tatizo.
Mkuu mbona marioo anaimba fresh tuu na anapini kibao, ingawa amapiano zinampenda Ila Kwa sisi ambao tulianza kumsikiliza marioo tangu anaimba nyimbo za kulia lia tunamwelewa
 
Mkuu mbona marioo anaimba fresh tuu na anapini kibao, ingawa amapiano zinampenda Ila Kwa sisi ambao tulianza kumsikiliza marioo tangu anaimba nyimbo za kulia lia tunamwelewa
Marioo wala si msanii mbaya ila mbosso khan kilungi na marioo tz nani ni bora ?
 
Kuna Huu wimbo kaimba na Yammy nimetamani watoe EP aiseee Kuna vocal na Nashauri mazuri sana
 
Back
Top Bottom