Wewe Mbosso haya mambo yako ndiyo yalisababisha bwana Marioo alifuta verse zako kwenye nyimbo zake mbili

Wewe Mbosso haya mambo yako ndiyo yalisababisha bwana Marioo alifuta verse zako kwenye nyimbo zake mbili

Screenshot_20241221-194121.png
 
mh! yani jux hajajaliwa sauti...🤣
ni vile tu hujui nakuona unavyotiririka ati mario nae hajui!.. we unafata wasanii waliotoboa sana hao unaowasema hawajui hata mimi nilikuwa nasema vivyo hivyo!..
nilipokuja kukaa kuwasikiliza vyema ndo nikaelewa ni wakina nani!.

mario kaandikia wasanii wenzake kabla hata hajatoka mi nafikiri labda useme hujaelewa style ya uimbaji wake, pia jux ni vile watz sio wapenzi sana wa miondoko ya R&B sasa yule ni moja wa fundi wa hizi ngoma!.
wabongo wengi mnapenda manyimbo yaliyochangamka tu ili mkate viuno na hizo singeli ndo mmefika mnacheza kama wehu mpk mnavua nguo!..😂
ukisema jux hana sauti sijui burna boy utasemaje!.

babu mziki wewe bado kaa, keti kimya kabisa!
Nakazia hapa, jux ni habari nyingine hiyo kwenye mziki.
 
Jux ndo msanii pekee ambaye hajawai kuchuja ,tangu UZURI UZURI wako mpaka sasa NAENJOY, OULULUFEMI etc .

Niambie msanii mwingine mkongwe anayetoa hit bila kuchuja kumzidi jux toka kipindi cha akina KAMIKAZE mpaka sasa.
jux ni msanii mzuri ila ni mpaka kuwa na top ten ya wasanii wazuri ila top 5 ayupo

Na ulichosema ni kweli jamaa ni kama kule kwenye RnB yupo mwenye tu kwahiyo hiyo pia imemsaidia
 
Mnasema marioo hajui , SEMA wewe ndo humuelewi sio hajui in generaly , ana subscribers 1M YouTube, TikTok 1M , ana wafuasi wengi wanamkubali kwanini?, au unaleta chuki binafsi , mi ni team kiba lakini siwez SEMA ety mondi hajui kuimba , mi namkubali kiba lakini wasanii wengine nao ni best Kila mmoja Kwa upande wake
 
Anesema marioo hajui huyo apimwe akili labda masikio yake hayasikii mziki mzuri yaani diamond mwenyewe hamkuti marioo ki mziki Kwa Mimi hapa bongo marioo anazidiwa na harmonize na mbosso tu tena mbosso wanalingana
 
Kiongozi umekosea. Ile ya Bien kaimba nini sasa pale. Kama unaimba na Mkenya halafu unafukiwa basi wewe ni basi tena. Mario anafaa kuimba Amapiano maana hajajaliwa sauti na kuandika. Wimbo wake ambao ni afadhali ni Mi amor.

Au may be preferences ila nina sikio zuri saana la muziki. Nikikwambia huyu mtu anajua kuandika na kuimba basi asilimia kubwa ya watu watakubaliana Nami. Mario amapiano zinampendeza saana maana Hana sauti na kuandika kwake ni tatizo.
Marioo nilisikiliza album yake ya sasa, kiukweli uandishi hauzingatii sana kwa Ila sio kwamba ni muandishi mbaya HAPANA maana ndio career yake kabla ya uimbaji

Ila nachoona anapita njia ile ile ya Diamond kuwa hitmaker zaidi maana ndio inaleta commercial success.
 
jux ni msanii mzuri ila ni mpaka kuwa na top ten ya wasanii wazuri ila top 5 ayupo

Na ulichosema ni kweli jamaa ni kama kule kwenye RnB yupo mwenye tu kwahiyo hiyo pia imemsaidia
Mpaka hapo naimani umekubali jux ndo king wa RnB Tanzania na ni moja ya 4 top tukianza na diamond, Alikiba, Barnabas, jux..
 
mh! yani jux hajajaliwa sauti...🤣
ni vile tu hujui nakuona unavyotiririka ati mario nae hajui!.. we unafata wasanii waliotoboa sana hao unaowasema hawajui hata mimi nilikuwa nasema vivyo hivyo!..
nilipokuja kukaa kuwasikiliza vyema ndo nikaelewa ni wakina nani!.

mario kaandikia wasanii wenzake kabla hata hajatoka mi nafikiri labda useme hujaelewa style ya uimbaji wake, pia jux ni vile watz sio wapenzi sana wa miondoko ya R&B sasa yule ni moja wa fundi wa hizi ngoma!.
wabongo wengi mnapenda manyimbo yaliyochangamka tu ili mkate viuno na hizo singeli ndo mmefika mnacheza kama wehu mpk mnavua nguo!..😂
ukisema jux hana sauti sijui burna boy utasemaje!.

babu mziki wewe bado kaa, keti kimya kabisa!
💯
 
Diamond anajua saana.
Harmonize anajua vibaya saana.
Alikiba anajua saana.
Jux anaweza kuandika ila sauti hajajaliwa.
Rayvanny anajua saana hasa kuandika tatizo autotune imezidi.
Rayvany alikua anaandika zamani mzee, sasa hivi hamna anachoandika.
Ngoma yake bila kumtaja ex sio wake, huyo na Marioo wote kapu moja.
 
Anesema marioo hajui huyo apimwe akili labda masikio yake hayasikii mziki mzuri yaani diamond mwenyewe hamkuti marioo ki mziki Kwa Mimi hapa bongo marioo anazidiwa na harmonize na mbosso tu tena mbosso wanalingana
mbosso alingani na marioo tz kwa uanishi maana mbosso kilungi ni balaa
 
Kiongozi umekosea. Ile ya Bien kaimba nini sasa pale. Kama unaimba na Mkenya halafu unafukiwa basi wewe ni basi tena. Mario anafaa kuimba Amapiano maana hajajaliwa sauti na kuandika. Wimbo wake ambao ni afadhali ni Mi amor.

Au may be preferences ila nina sikio zuri saana la muziki. Nikikwambia huyu mtu anajua kuandika na kuimba basi asilimia kubwa ya watu watakubaliana Nami. Mario amapiano zinampendeza saana maana Hana sauti na kuandika kwake ni tatizo.
Kitu ambacho nahisi kinawaangusha wasanii wengi hasa wanaoingia kwenye bongo flava kwa sasa ni kumuiga Diamond kuanzia kuongea, mtindo wa mavazi, kutembea na kila kitu.
Ukimuangalia Marioo kwa haraka ni Diamond huyu hapa, hata baadhi ya ladha katika nyimbo zake ni Chibu mtupu.
Hili suala hata P Funk nadhani alilizungumzia kwa hawa vijana kutaka kuishi maisha ya Diamond ilhali maisha yao hakuna wa kiyaishi.
 
Back
Top Bottom