kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
- Thread starter
-
- #61
ukitaka kujua mbosso ni balaa nenda kasikilize wimbo rayvanny featurig mbosso kilungi uje ulete mrejesho hapaKuna Huu wimbo kaimba na Yammy nimetamani watoe EP aiseee Kuna vocal na Nashauri mazuri sana
Nakazia hapa, jux ni habari nyingine hiyo kwenye mziki.mh! yani jux hajajaliwa sauti...🤣
ni vile tu hujui nakuona unavyotiririka ati mario nae hajui!.. we unafata wasanii waliotoboa sana hao unaowasema hawajui hata mimi nilikuwa nasema vivyo hivyo!..
nilipokuja kukaa kuwasikiliza vyema ndo nikaelewa ni wakina nani!.
mario kaandikia wasanii wenzake kabla hata hajatoka mi nafikiri labda useme hujaelewa style ya uimbaji wake, pia jux ni vile watz sio wapenzi sana wa miondoko ya R&B sasa yule ni moja wa fundi wa hizi ngoma!.
wabongo wengi mnapenda manyimbo yaliyochangamka tu ili mkate viuno na hizo singeli ndo mmefika mnacheza kama wehu mpk mnavua nguo!..😂
ukisema jux hana sauti sijui burna boy utasemaje!.
babu mziki wewe bado kaa, keti kimya kabisa!
Naunga mkono hojaNaona kikao cha saloon ya kike kimeanza,haya endeleeni
jux mbona ukali wake ni wakawaida tu mkuuNakazia hapa, jux ni habari nyingine hiyo kwenye mziki.
Jux ndo msanii pekee ambaye hajawai kuchuja ,tangu UZURI UZURI wako mpaka sasa NAENJOY, OULULUFEMI etc .jux mbona ukali wake ni wakawaida tu mkuu
jux ni msanii mzuri ila ni mpaka kuwa na top ten ya wasanii wazuri ila top 5 ayupoJux ndo msanii pekee ambaye hajawai kuchuja ,tangu UZURI UZURI wako mpaka sasa NAENJOY, OULULUFEMI etc .
Niambie msanii mwingine mkongwe anayetoa hit bila kuchuja kumzidi jux toka kipindi cha akina KAMIKAZE mpaka sasa.
Marioo nilisikiliza album yake ya sasa, kiukweli uandishi hauzingatii sana kwa Ila sio kwamba ni muandishi mbaya HAPANA maana ndio career yake kabla ya uimbajiKiongozi umekosea. Ile ya Bien kaimba nini sasa pale. Kama unaimba na Mkenya halafu unafukiwa basi wewe ni basi tena. Mario anafaa kuimba Amapiano maana hajajaliwa sauti na kuandika. Wimbo wake ambao ni afadhali ni Mi amor.
Au may be preferences ila nina sikio zuri saana la muziki. Nikikwambia huyu mtu anajua kuandika na kuimba basi asilimia kubwa ya watu watakubaliana Nami. Mario amapiano zinampendeza saana maana Hana sauti na kuandika kwake ni tatizo.
Mpaka hapo naimani umekubali jux ndo king wa RnB Tanzania na ni moja ya 4 top tukianza na diamond, Alikiba, Barnabas, jux..jux ni msanii mzuri ila ni mpaka kuwa na top ten ya wasanii wazuri ila top 5 ayupo
Na ulichosema ni kweli jamaa ni kama kule kwenye RnB yupo mwenye tu kwahiyo hiyo pia imemsaidia
💯mh! yani jux hajajaliwa sauti...🤣
ni vile tu hujui nakuona unavyotiririka ati mario nae hajui!.. we unafata wasanii waliotoboa sana hao unaowasema hawajui hata mimi nilikuwa nasema vivyo hivyo!..
nilipokuja kukaa kuwasikiliza vyema ndo nikaelewa ni wakina nani!.
mario kaandikia wasanii wenzake kabla hata hajatoka mi nafikiri labda useme hujaelewa style ya uimbaji wake, pia jux ni vile watz sio wapenzi sana wa miondoko ya R&B sasa yule ni moja wa fundi wa hizi ngoma!.
wabongo wengi mnapenda manyimbo yaliyochangamka tu ili mkate viuno na hizo singeli ndo mmefika mnacheza kama wehu mpk mnavua nguo!..😂
ukisema jux hana sauti sijui burna boy utasemaje!.
babu mziki wewe bado kaa, keti kimya kabisa!
Rayvany alikua anaandika zamani mzee, sasa hivi hamna anachoandika.Diamond anajua saana.
Harmonize anajua vibaya saana.
Alikiba anajua saana.
Jux anaweza kuandika ila sauti hajajaliwa.
Rayvanny anajua saana hasa kuandika tatizo autotune imezidi.
Rayvanny kapotea vibaya sana kwa uandishi wakeRayvany alikua anaandika zamani mzee, sasa hivi hamna anachoandika.
Ngoma yake bila kumtaja ex sio wake, huyo na Marioo wote kapu moja.
mbosso alingani na marioo tz kwa uanishi maana mbosso kilungi ni balaaAnesema marioo hajui huyo apimwe akili labda masikio yake hayasikii mziki mzuri yaani diamond mwenyewe hamkuti marioo ki mziki Kwa Mimi hapa bongo marioo anazidiwa na harmonize na mbosso tu tena mbosso wanalingana
Hujielewi kumbe unaleta ushabiki wa kishambambosso alingani na marioo tz kwa uanishi maana mbosso kilungi ni balaa
Kitu ambacho nahisi kinawaangusha wasanii wengi hasa wanaoingia kwenye bongo flava kwa sasa ni kumuiga Diamond kuanzia kuongea, mtindo wa mavazi, kutembea na kila kitu.Kiongozi umekosea. Ile ya Bien kaimba nini sasa pale. Kama unaimba na Mkenya halafu unafukiwa basi wewe ni basi tena. Mario anafaa kuimba Amapiano maana hajajaliwa sauti na kuandika. Wimbo wake ambao ni afadhali ni Mi amor.
Au may be preferences ila nina sikio zuri saana la muziki. Nikikwambia huyu mtu anajua kuandika na kuimba basi asilimia kubwa ya watu watakubaliana Nami. Mario amapiano zinampendeza saana maana Hana sauti na kuandika kwake ni tatizo.