Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Until Jesus come.But!.......?
When then?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Until Jesus come.But!.......?
When then?
Acha hizo.Until Jesus come.
Tukio gani lilikukuta?Mie nimekutana na notification ya kutajwa tu mie nishapigwa tukio jamiiforum hata siamini mtu ndo maana sipo kama zamani hawa wanaokuja na id mtu huijui unawaza kuwa ni mgeni kumbe shushushu mafala sanaaa.
Niliziacha muda tuAcha hizo.
Yani mtu akitaka areply anakujibu huku anakuona unavomuangalia.Hy avatar niliipata humu JF na tangu nimejiunga jf mpaka leo cjawah kubadili hy avatar, nilibadi I'd lakini avatar ikabaki hy hy
Mbona unaonekana mzuri tu au kuna shida mrembo[emoji39][emoji39]Hakuna ata mmoja anaevutiwa na ID yangu jamani
Mhmhmhmh!. Aya!.Niliziacha muda tu
Hahahaha[emoji23]
😘Mhmhmhmh!. Aya!.
Woi😕
We acha tu haifai kuweka hapa ni upuuzi puuzi tu.Tukio gani lilikukuta?
Pole kwanza [emoji1787] maana ulimuitikia kibabe sana.
Nafata ubuyu huo.We acha tu haifai kuweka hapa ni upuuzi puuzi tu.
Aaah nakuaminije[emoji2960]Nafata ubuyu huo.
Woi😕
🤣🤣 wale wale kwiyoo. Me sio waleAaah nakuaminije[emoji2960]
Isijekuwa wale wale.
Naomba picha umevaa sketi vinginevyo Depal nazima simu [emoji23][emoji1787][emoji1787] wale wale kwiyoo. Me sio wale
Nakutag sehemu.Naomba picha umevaa sketi vinginevyo Depal nazima simu [emoji23]
Siyo vizuri ujue.utajiju
Pole ndugu.Siyo vizuri ujue.