Wewe mkaka wa Jamii Forums mimi mwenzio bado nakupendaa

Wewe mkaka wa Jamii Forums mimi mwenzio bado nakupendaa

Tatizo mnajikutaga sana mnapendwa kudanganywa ndio mkubali haraka ila ukiambiwa ukweli mnajivuta sana Sasa na sisi tunakua na tuna by time yaan tunajali mda sana kama ng'ombe vile tuna puuu!!! Uku tunatembea Ili tusichelewe tunapo enda Kuna mwenzio nae alikua ivyo ivyo mazingatio kama yote akiwa na shido,lakin akawa ajali Wala nn Tena nakumbuka akasema yeye hawez kua kwenye mahusiano atanidanganya tu,nikamvumilia kama miez 4 hado yupo na mikausho mikali japo akiwa na shido ananichek namzingatia shega dk ya mwisho nikampotezea akaja nikuta sehem namwagilia zangu moyo na soft drinks akaji vuta vuta mwisho akaja kukaa nilipo Kaa akaanza kulalamika kwamba now nampotezea sijui nn na nn baadae nae akaomba nae nimunulie kinywaji Kisha akaendelea kuuliza kwann namfanyia vile nikamnunulia kinywaji alafu nikamwambia wewe sababu ulisha sema haupo tayar kwenye mahusiano utanidanganya nami sasaiv nakuchukulia kama mshikaji wangu,bas mtoto wangu akipita apo kazin kwake akiwa anaenda dukani mala amwite amnunulie Soda ya take away mala ivi mala vile.
Ila mm ndo Nisha move on kwake,so usia wangu kwenu woman mkipata nafas kama izo msichukue mda mrefu sana kuludisha majibu Kwa wahusika kama anae kua proch unampenda kweli sababu unaweza kujikuta unampoteza ivi ivi,yangu n ayo tu mjuu wangu🙏🏽
 
Back
Top Bottom