Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Hayupo 😂😂Mahi hayajapita, kitendo cha kumkumbuka tayari bado yupo moyoni mwako 😹😹
Kumkumbuka mtu sio lazima iwe ivyo mahiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayupo 😂😂Mahi hayajapita, kitendo cha kumkumbuka tayari bado yupo moyoni mwako 😹😹
Nimemuwaii tayariKaka mnyakyusa nishaanza kumpenda 🐒
OoohWimbo wa yammy mamamzungu waitwa kukupenda. It's a nice love song
SawaAlimaliza kula ujana atakucheki
Mshua mwajuma ali kuja home, Nika mwambia mother yule ni dada ako😂Rudisha sim ya mama yako mwanangu, umesha kua mkubwa..🤨
🤣🤣🤣Sijui nilikuwa wapi,daah😔Ndiyo wewe nakutafuta humu, mwanamke aliyemaliza issue za kuzaa nilitoa tangazo humu aje. Ulikuwa wapi?
🤣🤣🤣🤣🤣Bujibuji Simba Nyamaume goma lako linakulikia huku, hebu rudisha moyo wako nyuma mzee
Haya ndio mambo sasa...🤣Mshua mwajuma ali kuja home, Nika mwambia mother yule ni dada ako😂
Huna akiliMapenzi ya humu mengi ni utapeli na ulaghai tu umejaa!
HahahahaMapenzi ya humu mengi ni utapeli na ulaghai tu umejaa!
Yupo bhana, naona unakikimbia kivuli chako 😹😹Hayupo 😂😂
Kumkumbuka mtu sio lazima iwe ivyo mahiii
Tena usithubutu kumwamini mtuMapenzi ya humu mengi ni utapeli na ulaghai tu umejaa!
kasema mna tumia haribu lugha!, raidisha ndio nini 😂Nimefanya nini tena jamani 😅
Naam jembe langu, ila Kikubwa ule mti ninao vutia bhangi usi ukate 😂Haya ndio mambo sasa...🤣
Na ndio maana sitaki uhame nyumbani...😜
HahahahaYupo bhana, naona unakikimbia kivuli chako 😹😹
Tatizo bange na pombè zinasingiziwa sana...☹️Naam jembe langu, ila Kikubwa ule mti ninao vutia bhangi usi ukate 😂