Wewe mkaka wa Jamii Forums mimi mwenzio bado nakupendaa

Mtego huo ndugu. Kimbia haraka kabla hujanasa.
 
Ha haaa sasa unataka ushauri gani?
 
Kuna jamaa amewashauri wanaume, wasikubali kuwa na wanawake ambao ni left over. Omba jamaa awe hajapita kwenye ule Uzi, maana una nondo nyingi sana.
 
Vijana wanaufurahia sana ujana wao ni mwemdo wa kuzichakata mbususu bila kuchoka. Ukiamua kuwekeza kabisa kuzichapa kupitia jf utakula ushibe na kukinai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…