Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
😹😹 Da kiboga tulia basi, ujue wewe ndo mtunza mafile na unayeyasambaza..!!
Wewe si ndio ulimchoma auntie yako au unataka kujifanya mwema hapa??
Hebu tuliza shipa..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😹😹 Da kiboga tulia basi, ujue wewe ndo mtunza mafile na unayeyasambaza..!!
Ungekuwa millennials ningekukumbusha mtu alikuwa anaitwa kifimbo cheza, mtaalamu wa kutembeza fimbo kwa waharibu lugha.kasema mna tumia haribu lugha!, raidisha ndio nini 😂
Maneno yakishujaa sana Kwa huyu mwanamke yaan ningeambiwa mm hata angekuwa na sura mbaya ningerudi kwakeSalaam nyingi kwenu wana jf… niliwamiss sana humu ndani
Leo bhn nimeleta confession yangu juu ya huyu Kijana nilikutana nae humu jf..
Nichukue nafasi Hii kukushukuru sana kwa kuwa na mimi katika kipindi kigumu nilichopitia.. pamoja na madhaifu yangu uliweza kunivumilia hivyohivyo.
Mara ya kwanza sikuwa na feeling’s zozote kwako.. ilikuwa nataka tu pa kupumzisha moyo ila at the end unanifanya nikakupenda kiukweli ukweli ( wanawake huwa inachukua muda mrefu kumpenda mwanaume)
Ila umeniangusha mno wakati mimi ndio nazama kwako wewe ukaibuka ukaacha tena kunipenda..
Nataka nikwambie nakumiss sana na nakupendaa sana.. Kama itatokea Mungu akasema nichague mwanaume wa kuwa nae ningekuchagua wewe mara 100
Nakusubirii umalize ujana tuwe wote pamoja
Happy valentine’s my dear Kaka mnyakyusa
It’s me your Brinn 😍
Kosa langu ni lipi hapo wewe kibwengo? Hadi uniambie sina akili?Huna akili
Gazeti la sani ehh?, ana kofia na fimbo. Vijana wame vaa kofia na suruali zilizo shuka chini😂.Ungekuwa millennials ningekukumbusha mtu alikuwa anaitwa kifimbo cheza, mtaalamu wa kutembeza fimbo kwa waharibu lugha.
dah supu ya mbuzi ipo lakini?, nili kuja na mbuzi, piga simu wapi😂Tatizo bange na pombè zinasingiziwa sana...☹️
Kosa langu ni lipi hapo wewe kibwengo? Hadi uniambie sina akili?
Naona mnaongelea ujasusi.We ID yako nyingine ni ipi😂
Kumbe unajua!Gazeti la sani ehh?, ana kofia na fimbo. Vijana wame vaa kofia na suruali zilizo shuka chini😂.
Wameanza kuona wivu tayari😍😍❤️
Wakukojolee upunguze wenge 😹😹
Kalya mpali 😹
Hahaha natamanije dem anikojolee acha kabisa yaani niko karibu na kkoo tuma location tupeane mikojo loveWakukojolee upunguze wenge 😹😹
Niwazunguke mi dunia? Wewe ndo mleta taarifa za watu humu, aintie yako alikuamini kumbe wewe ndio mchomaji wake..!!
Kalya zongiiKalya mpali 😹
Ujasusi wa kidola na kiuchumiNaona mnaongelea ujasusi.
Wajitundike 🤣Wameanza kuona wivu tayari