Wewe Mr., kwanini hunitunzi?

Huyu nae ni tofauti na yule wa 7800?
 
Samahani ndugu mteja wife material hawapatikani kwenye hii dunia

Jaribu sayari nyingine
 
Tembea TU pumbavuu
 
Watakuwa ni kina Zero Brain hao....
wamekula kitu kimasihara alafu wamesepa
 
Plz pokea Sim yangu nimekwama Sinza
 
Humu jf hawana hela tuseme mara ngapi??
Humu unaomba hata nauli hawana.
Wao wanajua shoo za kibabe ila kingine hawana wanaomba hadi vocha wakidai mke wangu mke wangu ndio zao .
Unatuma wanasepa .
Jamii forum elewa ni wanaume hawana pesa .
Upo hotelini katafute danga akupe pesa urudi lasivyoo utapewa mimba huko huko ulipo ni wamaskini
 
Sasa tutamwambiaje na hatumjui[emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…