Wewe Mr., kwanini hunitunzi?

Nkafikiri unamahauri akafanue kaz apaye hela kumbe akafanye kudanga tena
Dah kinadada mnajiweza
 
Daaah mbona unatukosea sana mashababi wa jamii forum
 
Ni pm namba yako chap
 
Ulipotea umefanikiwa kufika ulipotaka kufika?
 
Dah ndio yamekuwa haya tena jamani wakati wee mwenyewe ulikuwa unatafuta huku huku jf
 
Mna nguvu za kiume??
Hebu wanaume mka discuss mje mniambie kama mna nguvu za kiume halafu nitakujibu
Sasa nguvu za kiume sii zinaletwa na ndalama maana ukiwa na ndalama tayari unakuwa na nguvu za kiume. Wewe umesema wanaume wa jf hatuna hela alafu unategemea tuwe na nguvu za kiume tena....mbona kama u asking blood from atone mrembo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…