Tatizo simu hana, ili niwatafute hata ndugu zake nijue wanamsaidia vipi, nataka nizame facebook nichague hata wadau 10 lengo nipate ndugu wa huyu jamaa wamsaidie, maana hapa dar hanaga ndugu zaidi ya yeye kuja na kufanya biashara zake japo alijengaNi mpaka maji waite mma k zinawanyolosa kisawasawa mwingine jana kamwagwa ubongo, hatujajinyoosha vizuri nara paap muheshimiwa katumbuka mwingine huyu kashakuwa chizi fresh na wakizubaa ndo imetoka hiyo
Hatari sana, ndugu zetu kanda ya ziwa mapenz yanawatesa sana, maana naona kesi nyingi harafu huwaamini wanawake sanaNi mpaka maji waite mma k zinawanyolosa kisawasawa mwingine jana kamwagwa ubongo, hatujajinyoosha vizuri nara paap muheshimiwa katumbuka mwingine huyu kashakuwa chizi fresh na wakizubaa ndo imetoka hiyo
Kama story yako ya kweli bas jamaa hatakiwi kuwa kwenye hali unayosemaHuyu jamaa hakuajiriwa, ila anafanya tender zake hasa kwenye petrol station anafunga camera, anatengeneza software za biashara, makanisani, yaani mkuu huyu mtu anatenda mpka nje ya nchi yaani anaunganisha computer ya Ghana na hapa anapiga kazi hata chini ya mti.
Anatenda za kusambaza sweta, uniform kuanzia Tanzania mpka Kenya, mkuu sijui nikwambiaje kuhusu huyu mtu.
Alikuwa na nyumba mbili dar, nasikia kauza, alikuwa na Guest pale Tabora, ngoja nitafute jina nitaliweka hapa
NB:HAKUAJIRIWA NA HATAKI KUSIKIA NENO AJIRA, KWA SABABU ANATENGENEZA FEDHA NYINGI SANA
Nimeona unajishaua kuwa ni muislam hamfanyiwi ujinga😅😅matukio mnapigwa vizuri tu sema nyie ni wataalam wa kutelekeza watoto mkizinguana na mwanamkeTatizo simu hana, ili niwatafute hata ndugu zake nijue wanamsaidia vipi, nataka nizame facebook nichague hata wadau 10 lengo nipate ndugu wa huyu jamaa wamsaidie, maana hapa dar hanaga ndugu zaidi ya yeye kuja na kufanya biashara zake japo alijenga
Wanaume wengi mazoba tuHatari sana, ndugu zetu kanda ya ziwa mapenz yanawatesa sana, maana naona kesi nyingi harafu huwaamini wanawake sana
Namuhurumia CHATU kuliko MWANAMKE.Wanaume tunapitia maisha magumu sana, hebu fikiria mtu ambaye anafanya kazi, mnaishi wote halafu mwanamke anakuja kuvuruga kila kitu.
Wana udhaifu sanaHuy
Huyu anatoka kanda ya ziwa, si unajua kwa wanawake ndugu zetu walivyo
Inawezekana ameliwa Timing1. Hujielewi.
2. Ulikuwa unataka kumfanyia hivyoo ukaishi kwa malaya akakuwahi
3. Kama ni yeye amekuchukulia mali zote bila sababu utapata nyingine nyingi.
Au nendeni mahakamani . Mpaka ameondoka kamuachia mwanamke vitu vyote kuna siri ambayo imebidi amuachie kila kitu. Kama yule mwanamke mwibaji wa jipe moyo utayashinda naye hivyo hivyoo ila akapata tajiri mkubwa karudisha mali zote
Sio mazoba ni wabaya sana mambwa haya yaani unaishi na mtu vizuri tu mnasota naye anaenda kula raha na malaya tena mkishapata hela ndio hivi sasa kawahiwa .Wanaume wengi mazoba tu
Ni kuwahiana tu hata hivyo tumeteseka sana acha tunyooshaneSio mazoba ni wabaya sana mambwa haya yaani unaishi na mtu vizuri tu mnasota naye anaenda kula raha na malaya tena mkishapata hela ndio hivi sasa kawahiwa .
Eh alikuwa apeleke hela kwa malaya so mke akamdaka mapema wanaume ni wakuwa nao makini ushahidi wa wanaume wabaya sana tumepigwa matukio hadi basiInawezekana ameliwa Timing
Pole yakeNingekuwa mimi mpka leo hii ningelishatoa talaka na maisha mengine yangesonga, wakristo kitendo cha kutokuwa na mfumo wa talaka mnatengeneza vichaa wengi
Kuna wanaume wa hovyo dunia hii.Eh alikuwa apeleke hela kwa malaya so mke akamdaka mapema wanaume ni wakuwa nao makini ushahidi wa wanaume wabaya sana tumepigwa matukio hadi basi
mmeshachemkaSisi tunao waamini kwa miongo kadhaa sasa tufanye sass
Mbona una hasira kama kuku mwenye vifarangaEh alikuwa apeleke hela kwa malaya so mke akamdaka mapema wanaume ni wakuwa nao makini ushahidi wa wanaume wabaya sana tumepigwa matukio hadi basi
Tunaposema usioe mwanamke msomi mnapandisha shingo Zenu na pumbu Zenu kutwambia hatujitambui mara tumepitwa na Wakati
Haya Sasa ninyi mnaojitambua KIKO WAPI?
wake zetu wasio soma hawajui hata mishara zetu ni sh ngap. Hata hawajui Kuna jamii forum au Facebook aliichukua simu yeye kuangalia picha tu na clip za vichekesho na gospel