Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
- Thread starter
-
- #141
ππππ usijali pambana ujinasue mshikaji wangu!Aisee nimehuzunika sana na vilio vya kwikwi juu hamna hata jambo moja lililonikosa katika hayo uliyoyaolozesha jamaa yangu
Umaskini ni mind set!
- Huna nyumba, au unanyumba ya chumba kimoja au viwili vya kulala wakati una familia
- Unatumia usafiri wa umma kwenye shughuli zako
- Kiasi cha pesa kinachoingia kwenye Account mwisho wa mwezi ukikichukua choote kinajaa kwenye wallet
- Watoto wako wanasoma shule za umma/serikali
- Huwezi nunua kilo mbili za nyama angalau kwa wiki kama mboga
- Kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine wewe na nusu ya familia ni kipengere
- Kama ni mwanaume unaogopa majukumu ya kuoa
- Kama mwanamke unalia kuolewa lakini kikubwa ili upate unafuu wa maisha
- Kama Unatumia simu nyingine (isipokuwa iPhone na Samsung) wewe ni masikini
- Ukienda bar macho kodo watu wakiwa wanatumia hela zao
- ..... ongezea....
Hizi Tafiti nyingine hizii sio kabisa lo
Duh!!!ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈπππππSasa uwe na dinar kiwango chochote utazitumia kununua nini zaidi ya mafuta ili hali mafuta nchi nyingi wanayo! Ukiwa na dollars unakuwa juu ya dunia kila mahali utalambwa miguu! Mwenye dollars si mwenzako!
πππππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈAiseee.πππ ndio
Tajiri hawezi kukaa huku mkiani mwa dunia bro
umeamkaje kipenziNdio ndio
Poa kabisa, vipi weweumeamkaje kipenzi
Acha kujipa umuhimu dada.......wanaosaidia hawana mbwembwe zako.Halafu ukute upo kwa mume wa dada yako unaangalia tamthiliya na dada ako mume wenu amesafiri kikaz watu wa jf bhana ndo maana mi nakuaga mzto sana kusaidia mtu humu hata aseme ana tatzo la kumuua.
Na tunalelewa je tupo kundi gani?Kama unaishi chini ya dola moja kwa siku wewe ni masikini
salama tu, nimefurahi kuckia uko poaPoa kabisa, vipi wewe
Una wazimu wewe!!πππππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈAiseee.
Kwani huku na kule kuna utofauti upi zaidi ya maghorofa tu!?
Tena kihali ya hewa Tanzania kuko bora zaidi.
Tofauti ni maendeleo ya maghorofa tu.Una wazimu wewe!!
Yani USA na huku uswekeni tofauti yake maghorofa?!!!! Uko serious au umeamua kujifurahisha??
Kweli waliosema watz ni maiti hawajakosea π€£π€£π€£π€£
Tafuta watu kumi hapo kitaani kwako waulize "dinar" ni hela ya wapi? Ukimpata hata mmoja njoo hapa nikupeleke kidimbwi kwa gharama zangu! Alafu tafuta watu mia duniani kote waulize "dollars πΈ " ya wapi? Ukimpata hata mmoja asiyejua njoo utafute slayqueen mmoja nitakulipita mahari kama hujaoa!Duh!!!ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈπππππ
Mkuu unaonekana wewe ni mweupe kwenye masuala ya mabadilisho ya fedha za kigeni.
Dinar ni hela miongoni mwa hela ambazo unazoweza ukazibadilisha popote.
Kwahiyo umeona cha kununua uarabuni ni mafuta tu!?
ππΏββοΈππΏββοΈππ
Suala unalolizungumzia wewe ni la Dinar kuwa medium of exchange.
Ila ukiwa na Dinar hapo unaweza ukaenda sehemu ukabadili kwa hela husika na ukaitumia.
πππππππDoh.Tafuta watu kumi hapo kitaani kwako waulize "dinar" ni hela ya wapi? Ukimpata hata mmoja njoo hapa nikupeleke kidimbwi kwa gharama zangu! Alafu tafuta watu mia duniani kote waulize "dollars πΈ " ya wapi? Ukimpata hata mmoja asiyejua njoo utafute slayqueen mmoja nitakulipita mahari kama hujaoa!