Wewe ni masikini kama huko kwenye kundi hili!

Wewe ni masikini kama huko kwenye kundi hili!

  1. Huna nyumba, au unanyumba ya chumba kimoja au viwili vya kulala wakati una familia
  2. Unatumia usafiri wa umma kwenye shughuli zako
  3. Kiasi cha pesa kinachoingia kwenye Account mwisho wa mwezi ukikichukua choote kinajaa kwenye wallet
  4. Watoto wako wanasoma shule za umma/serikali
  5. Huwezi nunua kilo mbili za nyama angalau kwa wiki kama mboga
  6. Kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine wewe na nusu ya familia ni kipengere
  7. Kama ni mwanaume unaogopa majukumu ya kuoa
  8. Kama mwanamke unalia kuolewa lakini kikubwa ili upate unafuu wa maisha
  9. Kama Unatumia simu nyingine (isipokuwa iPhone na Samsung) wewe ni masikini
  10. Ukienda bar macho kodo watu wakiwa wanatumia hela zao
  11. ..... ongezea....
Afadhari namba Tisa imeniepukaa😂😂
 
Ona sasa na wewe mdogo wake Evelynsalt unachoongea!?
Utachapwa we kosea adabu matajiri🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️
Mo yupo TZ ila ana hela mara mbili na nusu ya JAYZ.
😂😂😂 Bongo hamna matajiri bana kuna wauza maandazi na juice.
Ushasikia kina Elon wanauza juice??
 
😂😂😂 Bongo hamna matajiri bana kuna wauza maandazi na juice.
Ushasikia kina Elon wanauza juice??
Aisee tutakuchapa lamomy!😬😬😬
Kwani kuna biashara za kitajiri na kimasikini!?
Cha muhimu kuingiza pesa ndefu.
Aya sasa Bakhresa ana pesa kuliko kina Pdidy utasemajee!?
 
Aisee tutakuchapa lamomy!😬😬😬
Kwani kuna biashara za kitajiri na kimasikini!?
Cha muhimu kuingiza pesa ndefu.
Aya sasa Bakhresa ana pesa kuliko kina Pdidy utasemajee!?
😂😂😂😂 Endelea kubisha.
Maandazi ya bakhresa yanauzwa east africa only. Ila bidhaa za Elon zinatumika dunia nzima.
Sasa hapo swali hilo jaza mwenyewe
 
😂😂😂😂 Endelea kubisha.
Maandazi ya bakhresa yanauzwa east africa only. Ila bidhaa za Elon zinatumika dunia nzima.
Sasa hapo swali hilo jaza mwenyewe
😂😂😂😂Aiseee.
Unataka tuanze kufundishana biashara zina scale ngapi.
Embu muite Evelynsalt.
Bakhresa ana net worth inayofika $ 800 millions unamuitaje masikini!?
🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🤣Lamomy nakuita tena Lamomy Lamomy we aya tu.
 
11.Kama wewe unatumia JF wewe Ni masikini wa kutupa.Tajiri Hana Muda wa kuingia JF na kuanza kusoma maandiko marefu ya members ambao hawana shughuli za kufanya isipokuwa kuandika andika tu.
 
😂😂😂😂Aiseee.
Unataka tuanze kufundishana biashara zina scale ngapi.
Embu muite Evelynsalt.
Bakhresa ana net worth inayofika $ 800 millions unamuitaje masikini!?
🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🤣Lamomy nakuita tena Lamomy Lamomy we aya tu.
😂😂😂 bro angu Evelyn Salt usimsumbue au unampenda??

Narudia tena na majirani zako wasikie.
Km unaishi bongo ww ni maskini tu!
 
Kama haupo jamiiforums we ni masikini.

Ninachojua jf hakuna masikini. Na ukiwa masikini basi umejitakia tu.
Eti hapa JF kila member Ni University graduate,Ni ana gari,nyumba Kali,anatumia iPhone na anaishi mjini😂
 
Kama
  1. Huna nyumba, au unanyumba ya chumba kimoja au viwili vya kulala wakati una familia
  2. Unatumia usafiri wa umma kwenye shughuli zako
  3. Kiasi cha pesa kinachoingia kwenye Account mwisho wa mwezi ukikichukua choote kinajaa kwenye wallet
  4. Watoto wako wanasoma shule za umma/serikali
  5. Huwezi nunua kilo mbili za nyama angalau kwa wiki kama mboga
  6. Kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine wewe na nusu ya familia ni kipengere
  7. Kama ni mwanaume unaogopa majukumu ya kuoa
  8. Kama mwanamke unalia kuolewa lakini kikubwa ili upate unafuu wa maisha
  9. Kama Unatumia simu nyingine (isipokuwa iPhone na Samsung) wewe ni masikini
  10. Ukienda bar macho kodo watu wakiwa wanatumia hela zao
  11. ..... ongezea....
*Kama unamiliki nyumba mbili
*Magari mawili
*Mke na watoto
*Mashahara wako ni 2,000,000/=
*Unauwezo wa kubadili mboga mwezi mzima
*Uwezo wa kunywa wine au bucket 4 za Heineken au Windhoek kila wiki
Kama una sifa hizo wewe bado ni maskini tu..usijifariji.
 
Sisi tuko ulimwengu wa 3, hivyo tambua zaidi ya 97% ni masikini.

Lakini kuna wengine ni matajiri wa hela ila masikini wa akili, mfano unalala na chatu halafu una hela ndefu.
[emoji16]
 
Mkuu uwe na asubuhi njema.
Mie kubishana siwezi.
Halafu sio kila mtu hutumia vitu refurbished.
Usikariri maisha namna hiyo.
KWAHERI.
Uwe na siku njema pia Mkuu mimi nikiona mtu anaiponda Iphone au Mercedes Benz najua tu hajakutana na kitu sahihi...hata kama hatutumii hizo simu tusifananishe na matakataka yetu...
 
Uwe na siku njema pia Mkuu mimi nikiona mtu anaiponda Iphone au Mercedes Benz najua tu hajakutana na kitu sahihi...hata kama hatutumii hizo simu tusifananishe na matakataka yetu...
Mkuu huwenda umekariri sana kuhusu iphone.
Usikariri mkuu.
Pia usilete mfano wa mercedez hiyo ni chapa ya GERMANY.
Ulimwengu wa magari ni mwingine mkuu uuache.
Kuna mtu hii dunia anamzidi Germany kwa ubora wa bidhaa!?
Labda umlete Japan.
Uliwahi kujiuliza kwanini 2018 Huawei iliizidi Iphone kimauzo!?
Tena sio tu kuizidi iphone bali iliikaribia Samsung kimauzo.
Jaribu technology mpya mkuu usikariri iphone aldays.
Itafute VIVO X90 tumia hiyo mashine halafu urudi hapa.
 
😂😂😂 bro angu Evelyn Salt usimsumbue au unampenda??

Narudia tena na majirani zako wasikie.
Km unaishi bongo ww ni maskini tu!
Aisee🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️ Evelynsalt BIBI YANGU nampendaje🤣!?
We lamomy muha😂😂😂 na waha wabishi kama wewe.
Hivi unajua kuna watu wapo Tanzania wana pesa kuliko walio USA!?
Yani Rostam Aziz mwenye mabilion awe masikini🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️😂😂!?
Najua unatania wacha nikuache.
 
Back
Top Bottom