Wewe ni masikini kama huko kwenye kundi hili!

Wewe ni masikini kama huko kwenye kundi hili!

  1. Huna nyumba, au unanyumba ya chumba kimoja au viwili vya kulala wakati una familia
  2. Unatumia usafiri wa umma kwenye shughuli zako
  3. Kiasi cha pesa kinachoingia kwenye Account mwisho wa mwezi ukikichukua choote kinajaa kwenye wallet
  4. Watoto wako wanasoma shule za umma/serikali
  5. Huwezi nunua kilo mbili za nyama angalau kwa wiki kama mboga
  6. Kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine wewe na nusu ya familia ni kipengere
  7. Kama ni mwanaume unaogopa majukumu ya kuoa
  8. Kama mwanamke unalia kuolewa lakini kikubwa ili upate unafuu wa maisha
  9. Kama Unatumia simu nyingine (isipokuwa iPhone na Samsung) wewe ni masikini
  10. Ukienda bar macho kodo watu wakiwa wanatumia hela zao
  11. ..... ongezea....
Hayo maoni yako tu... Usitulazimishe
 
  1. Huna nyumba, au unanyumba ya chumba kimoja au viwili vya kulala wakati una familia
  2. Unatumia usafiri wa umma kwenye shughuli zako
  3. Kiasi cha pesa kinachoingia kwenye Account mwisho wa mwezi ukikichukua choote kinajaa kwenye wallet
  4. Watoto wako wanasoma shule za umma/serikali
  5. Huwezi nunua kilo mbili za nyama angalau kwa wiki kama mboga
  6. Kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine wewe na nusu ya familia ni kipengere
  7. Kama ni mwanaume unaogopa majukumu ya kuoa
  8. Kama mwanamke unalia kuolewa lakini kikubwa ili upate unafuu wa maisha
  9. Kama Unatumia simu nyingine (isipokuwa iPhone na Samsung) wewe ni masikini
  10. Ukienda bar macho kodo watu wakiwa wanatumia hela zao
  11. ..... ongezea....
wewe na chawa lukas ni dugu moya
 
Umeropoka sana mkuu.
-Usafiri wa umma haimaanishi kuwa mtu masikini.
Wapo wenye uchumi wa kati ila wanatumia usafiri wa umma.
-Wengine wanafuga hawanunui nyama bali wanachinja.
-Simu nzuri sio apple na samsung tu.
Kuna OPPO,XIAOMI,VIVO,HUAWEI.
Hizi nazo zimetajwa kuwa miongoni mwa simu bora.

Punguza ushamba
Asante Kwa kumjibu vema. Nilitaka nimjibu kipengele Cha kwanza na Cha pili.
 
Umaskin una layers.. mwenye ist anamuona mwenye passo maskini.. mwenye passo anamuona bodaboda maskini.. bodaboda anamuona mwenye baskeli maskini. Mwenye baskeli anamuona mtembea kwa miguu maskini ahurumiwe.. mwenye miguu anamuona mlemavu anaomba kariakoo maskini zaidi.

So umaskini unaendana na vulnerability, pia unapita katika mistari ya kurithishana. Na ukiuangalia v.izur umekaa kikabila, kirangi na kikanda. Although maskin Wanashea kero! Wanaishi nje ya miji maeneo y suburban, hawana sapoti ya familia wal jirani, wanatoa nguvu kazi ya bei rahisi viwandani... hat wale waliosoma wanaenda kuwa casual labour viwandani.

Definition ya vulnerability.. hata wewe Leo ukiumwa kwa kipindi cha mwaka mmoja tu mpaka hela ya kula wewe na familia yako uchangiwe ujue umo
 
Back
Top Bottom