Wewe ni masikini kama huko kwenye kundi hili!

Wewe ni masikini kama huko kwenye kundi hili!

  1. Huna nyumba, au unanyumba ya chumba kimoja au viwili vya kulala wakati una familia
  2. Unatumia usafiri wa umma kwenye shughuli zako
  3. Kiasi cha pesa kinachoingia kwenye Account mwisho wa mwezi ukikichukua choote kinajaa kwenye wallet
  4. Watoto wako wanasoma shule za umma/serikali
  5. Huwezi nunua kilo mbili za nyama angalau kwa wiki kama mboga
  6. Kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine wewe na nusu ya familia ni kipengere
  7. Kama ni mwanaume unaogopa majukumu ya kuoa
  8. Kama mwanamke unalia kuolewa lakini kikubwa ili upate unafuu wa maisha
  9. Kama Unatumia simu nyingine (isipokuwa iPhone na Samsung) wewe ni masikini
  10. Ukienda bar macho kodo watu wakiwa wanatumia hela zao
  11. ..... ongezea....

kama "huko"! Neno hili lina maana gani kati ya haya mawili,​

1. Umo (uko).​

2. Haumo.(hauko, huko).
 
  1. Huna nyumba, au unanyumba ya chumba kimoja au viwili vya kulala wakati una familia
  2. Unatumia usafiri wa umma kwenye shughuli zako
  3. Kiasi cha pesa kinachoingia kwenye Account mwisho wa mwezi ukikichukua choote kinajaa kwenye wallet
  4. Watoto wako wanasoma shule za umma/serikali
  5. Huwezi nunua kilo mbili za nyama angalau kwa wiki kama mboga
  6. Kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine wewe na nusu ya familia ni kipengere
  7. Kama ni mwanaume unaogopa majukumu ya kuoa
  8. Kama mwanamke unalia kuolewa lakini kikubwa ili upate unafuu wa maisha
  9. Kama Unatumia simu nyingine (isipokuwa iPhone na Samsung) wewe ni masikini
  10. Ukienda bar macho kodo watu wakiwa wanatumia hela zao
  11. ..... ongezea....
Punguza ulimbukeni dogo Hawa ndo vijana wa Ilala akiwa na iPhone macho matatu tayari katoboa yaani yupo radhi atoe jicho Moja apate matatu
 
  1. Huna nyumba, au unanyumba ya chumba kimoja au viwili vya kulala wakati una familia
  2. Unatumia usafiri wa umma kwenye shughuli zako
  3. Kiasi cha pesa kinachoingia kwenye Account mwisho wa mwezi ukikichukua choote kinajaa kwenye wallet
  4. Watoto wako wanasoma shule za umma/serikali
  5. Huwezi nunua kilo mbili za nyama angalau kwa wiki kama mboga
  6. Kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine wewe na nusu ya familia ni kipengere
  7. Kama ni mwanaume unaogopa majukumu ya kuoa
  8. Kama mwanamke unalia kuolewa lakini kikubwa ili upate unafuu wa maisha
  9. Kama Unatumia simu nyingine (isipokuwa iPhone na Samsung) wewe ni masikini
  10. Ukienda bar macho kodo watu wakiwa wanatumia hela zao
  11. ..... ongezea....
Kama "huko" ??
 
  1. Huna nyumba, au unanyumba ya chumba kimoja au viwili vya kulala wakati una familia
  2. Unatumia usafiri wa umma kwenye shughuli zako
  3. Kiasi cha pesa kinachoingia kwenye Account mwisho wa mwezi ukikichukua choote kinajaa kwenye wallet
  4. Watoto wako wanasoma shule za umma/serikali
  5. Huwezi nunua kilo mbili za nyama angalau kwa wiki kama mboga
  6. Kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine wewe na nusu ya familia ni kipengere
  7. Kama ni mwanaume unaogopa majukumu ya kuoa
  8. Kama mwanamke unalia kuolewa lakini kikubwa ili upate unafuu wa maisha
  9. Kama Unatumia simu nyingine (isipokuwa iPhone na Samsung) wewe ni masikini
  10. Ukienda bar macho kodo watu wakiwa wanatumia hela zao
  11. ..... ongezea....
Nilivosoma hoja namba 1 niliweka attention nikifiri umeongea vya msingi, ili nilivyoendelea mbele nikagundua ni pumba tupu 🚮
 
Nakurekebisha unasema nimekwazika mkuu!?😳😳😳😳
Nikupe mfano wa OPPO tu,Ulaya matajiri sasa hivi wanakimbilia OPPO.
Sasa wewe mshamba umeshikilia simu ni samsung na apple imekula kwako.
Mkuu mimi nipo kwenye kundi aliloongea mshikaji ila kuhusu simu Apple na Sumsung ni simu bora sana Jaribu kutumia hata ya zamani ile S 21 + 5G ndio uendelee kwenye 23 huko Ulaya kutumia kitu sio kigezo chochote cha ubora wa kitu wale jamaa wana displine ya hela sana wapo wanaotumia baiskeli kwenye shughuli zao ila hiyo baiskeli yenyewe ni kama IST kwetu...
 
Mkuu mimi nipo kwenye kundi aliloongea mshikaji ila kuhusu simu Apple na Sumsung ni simu bora sana Jaribu kutumia hata ya zamani ile S 21 + 5G ndio uendelee kwenye 23 huko Ulaya kutumia kitu sio kigezo chochote cha ubora wa kitu wale jamaa wana displine ya hela sana wapo wanaotumia baiskeli kwenye shughuli zao ila hiyo baiskeli yenyewe ni kama IST kwetu...
Apple/I phone nimewahi itumia Iphone X japo nilipewa sikununua,Iphone kiufanisi naweza sema hamshindi Samsung,Samsung nimezinunua sana hususan model za NOTE,model za Note karibia zote nimenunua.
Samsung ndio ni simu bora kiufanisi wa software yake na masuala mengine.
Ila jaribu matoleo mengine kama Huawei,OPPO,XIAOMI uone jinsi zilivyo na ufanisi pia.
Mie nina OPPO reno bro tafuta OPPO reno yeyote kaitumie uone,hutojutia kununua.
Au kuhusu vivo kanunue vivo X90 kesha ucheki ufanisi wake upoje.
Kwa hizi simu kuanzia kasi ya internet,camera,durability vyote vinakimbizana na hizo Samsung.
Unavyovipata katika Samsung hukosi kuvipata katika hizo simu nilizotaja tena karibia asilimia ile ile.
 
Apple/I phone nimewahi itumia Iphone X japo nilipewa sikununua,Iphone kiufanisi naweza sema hamshindi Samsung,Samsung nimezinunua sana hususan model za NOTE,model za Note karibia zote nimenunua.
Samsung ndio ni simu bora kiufanisi wa software yake na masuala mengine.
Ila jaribu matoleo mengine kama Huawei,OPPO,XIAOMI uone jinsi zilivyo na ufanisi pia.
Mie nina OPPO reno bro tafuta OPPO reno yeyote kaitumie uone,hutojutia kununua.
Au kuhusu vivo kanunue vivo X90 kesha ucheki ufanisi wake upoje.
Kwa hizi simu kuanzia kasi ya internet,camera,durability vyote vinakimbizana na hizo Samsung.
Unavyovipata katika Samsung hukosi kuvipata katika hizo simu nilizotaja tena karibia asilimia ile ile.
Mkuu sio kweli bhana mimi nipo SA na hapa simu hizo zote ndio zimejaa aisee hivi vitu mnavitoa wapi au mkitumia refurbished hizo za Dubai ndio mnakuja na majibu ya jumla nakwambia sio kweli unachoongea...Over
 
Mkuu sio kweli bhana mimi nipo SA na hapa simu hizo zote ndio zimejaa aisee hivi vitu mnavitoa wapi au mkitumia refurbished hizo za Dubai ndio mnakuja na majibu ya jumla nakwambia sio kweli unachoongea...Over
Mkuu uwe na asubuhi njema.
Mie kubishana siwezi.
Halafu sio kila mtu hutumia vitu refurbished.
Usikariri maisha namna hiyo.
KWAHERI.
 
Yani hapo namba5 tu ndio nimeimudu, maana kwa wiki naendaga kwa morombo mara moja, kimundo mara mbili... kote huko nafata nyama choma
 
Back
Top Bottom